Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

ops

Senior Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
112
Reaction score
5
Habari za leo Wana jamiiforum. Moudy wa Sinza, Natatufuta mpenzi mwenye umbo nzuri, awe na tabia nzuri, asiwe mlevi, awe anaishi Dar,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, umri kuanzia 22- 27, nipo serious, kwa mpenzi nitakayempata nina malengo naye kama tabia yake nzuri. nicheki kwa E-Mail mhassani84@yahoo.com asnteni naomba kuwakilisha.
 
Habari za leo Wana jamiiforum. Moudy wa Sinza, Natatufuta mpenzi mwenye umbo nzuri, awe na tabia nzuri, asiwe mlevi, awe anaishi Dar,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, umri kuanzia 22- 27, nipo serious, kwa mpenzi nitakayempata nina malengo naye kama tabia yake nzuri. nicheki kwa E-Mail mhassani84@yahoo.com asnteni naomba kuwakilisha.


Tupe wasifu wako kwanza.
 
habari za leo wana jamiiforum. Moudy wa sinza, natatufuta mpenzi mwenye umbo nzuri, awe na tabia nzuri, asiwe mlevi, awe anaishi dar,elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, umri kuanzia 22- 27, nipo serious, kwa mpenzi nitakayempata nina malengo naye kama tabia yake nzuri. Nicheki kwa e-mail mhassani84@yahoo.com asnteni naomba kuwakilisha.

ngoja waje wanaotafuta waume.
 
tangu umeanza kutafta wachumba hapa jukwaani hujapata tu,jaribu kubandika na picha yako labda unaweza kufikiriwa.
 
Wapo watu kwa ajiri ya kuumiza watu humu jukwaani
Yaani kazi yao kuchukiza watu tu. Unapost kitu baada ya kukusaidia andika upuuzi.
kama vp bwana mndogo komaa utapata tu.
 
Habari za leo Wana jamiiforum. Moudy wa Sinza, Natatufuta mpenzi mwenye umbo nzuri, awe na tabia nzuri, asiwe mlevi, awe anaishi Dar,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, umri kuanzia 22- 27, nipo serious, kwa mpenzi nitakayempata nina malengo naye kama tabia yake nzuri. nicheki kwa E-Mail mhassani84@yahoo.com asnteni naomba kuwakilisha.


Weka picha yako na majibu ya ukimwi ya hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom