Natafuta mpenzi


nipo tayari vigezo na sifa zote ninazo fanya kama unani pm hv mkuu!
 
Kigezo no_ 3 mi mwembmba tu!
4 Sio msomi!
7 t- na jeans + raba sio hoby yangu
bt vigezo vingine ninavyo hapo vp!!!?
Ila nawewe hujaelezea sifa/Vigezo ulivyonavyooo...!!?
 
Wanawake mmetuzidi idadi so haina shaka, siku mkikosa wa kuoa mtapunguza conditions
 
Nilitarajia ungeweka sifa zako kwanza, ndipo utaje sifa zile unazo zitaka, nahisi umechemsha.
 
Kwa hivo vigezo tu wewe unaonekana ni mbinafsi
 
Vigezo ulivyoviweka tuu inaonyesha umburura wako, awe msomi kiasi, sasa kiasi gani dada angu? Awe na kazi inayotambulika, kutambulika wapi? Mahakaman, serikalin, msikitin au kanisan? Awe anaependa kuvaa t-shirt na jinzi, kwahiyo kila mahali majinz tuu? amekuwa msanii wa kizazi kipya?. Kuwa specific afu na wewe weka details zako, siyo unajifanya jaji wakati mwenyewe ni mwizi mzuri mtaan kwako
 
Tunaomba taarfa za awali uwajuze wana jamvi kama umesha pata au ndo uko kweny selection, toa hiyo first draft
 
toa maelezo yako kama una nia, halafu mbona huonekani jamvini? umeweka hitaji na kutoweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…