Natafuta mpenzi

ALEIN

Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
27
Reaction score
1
cna mengi zaidi ila we kama uko poa niambie kupitia aleinerick@gmail.com umri wangu miaka 30 yeyote mwenye mapenzi ya kweli.
 
Mpenzi wa kweli tafadhali jitokeze um-butue Mkuu hapa.
 
cna mengi zaidi ila we kama uko poa niambie kupitia aleinerick@gmail.com umri wangu miaka 30 yeyote mwenye mapenzi ya kweli.
Sasa huna mengi unafikiri mtu atajileta tu wakati haujajieleza?
1.jinsia yako
2.Sababu za kuhitaji mpenzi( je ni kuoa/kuolewa naye au wa hit and run)
3.kazi yako(umejiajiri au umeajiriwa) nk..... funguka unafikiri watakuja kichwa kichwa tu kuna mengi wanatakakusikia kutoka kwako ebo!
 
we ni male/female?kwanza tuanzie hapo kabla hatujawaruhusu kuja.au unataka yoyote itakayokua rizrki yako?
 
cna mengi zaidi ila we kama uko poa niambie kupitia aleinerick@gmail.com umri wangu miaka 30 yeyote mwenye mapenzi ya kweli.

ni mwanamume nimejiajiri
 
Kuna hawa walioshindwa mapigano kongo...kuna 'wapenzi' wengi tu ila sijajua ulihitaji jinsia ipi hasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…