Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Sana mdogo wangu kwa hakika wewe ni shujaa! Na utaishi maisha ya furaha na amani kuliko walio Negative!Hi guys
Mimi ni kijana wa miaka 33 naishi NJOMBE nimegundulika na maambukizi ya VVU last month. Najishughulisha na biashara ya mazao, Elimu ni Degree ya Education, si mfupi si mrefu mwili wa kwawaida na nimeanza kutumia ARV, nipo vizuri kabisa
Nimekuja humu kusaka mchumba ili tuweze kuwa mme na mke kama tutaridhiana. Nilikuwa na mchumba lakini tulipoenda kupima ili tuoane nikakutwa nina shida ikabidi tuachane
Mwenye nia ya dhati anicheki inbox. Asanteni wapendwa
Si uoe alokuambukizaHi guys
Mimi ni kijana wa miaka 33 naishi NJOMBE nimegundulika na maambukizi ya VVU last month. Najishughulisha na biashara ya mazao, Elimu ni Degree ya Education, si mfupi si mrefu mwili wa kwawaida na nimeanza kutumia ARV, nipo vizuri kabisa
Nimekuja humu kusaka mchumba ili tuweze kuwa mme na mke kama tutaridhiana. Nilikuwa na mchumba lakini tulipoenda kupima ili tuoane nikakutwa nina shida ikabidi tuachane
Mwenye nia ya dhati anicheki inbox. Asanteni wapendwa
Duh hatari na nusuSimjui hata
Aisee pole sanaaSimjui hata