comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Usawa huu, tutegemee mambo mengi sana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kipepe kwanza umekula au ndio tunapoteza muda siku ipite
Hongera Sana Mkuu.Mbele ya mboni za macho yenu ndugu watazamajii!
Mfanyabiasha mkubwa na mwanasaikolojia KIPEPE, Nipo hapa kutafuta mtoto mkaliiiiiiii!!!
Ebbanaaaa! Uwe mkali aseeee! Maana komredi ni Kijana tajiri niliesimika Jumba la kifahari katika Jiji la Dar.. Nahitaji mama mwenye nyumba uwe mzuuuuriiiii!!!!!
Changamkienii fursa aseeeee!!!
Huyu hapa chini ni MFANYAKAZI WANGU WA NDANI a.k.a BEKI 3, Uwe mzuri kumzidiiiii, kabila lolooote.
View attachment 1141545
Hongera Sana Mkuu.
Muoe uyo beki tatu
Ninao ila Wote wameolewa wana familia zao!!Asante kingkong, au una Dada?
Asee sina bahatiNinao ila Wote wameolewa wana familia zao!!
Vinini vya kupimavyakupima ukichanganya ba na balimi lazima ulete story hizi
😂 😂 😂 😂 yha 500Vinini vya kupima
Mimi situmiagí ½í¸ í ½í¸ í ½í¸ í ½í¸ yha 500
kipepe kwanza umekula au ndio tunapoteza muda siku ipite
Yeye amesomaje kama hayupo online[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jembe zito hili
Yeye amesomaje kama hayupo online
Muulize kama VIP si mwanao huyoo mlikua mnanipiga majunguTumuulize labda
Muulize kama VIP si mwanao huyoo mlikua mnanipiga majungu