ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Wadau,
Niko kwenye mchakato wa kudivorce na nimehamishiwa hapa Dar kikazi, natafuta msaidizi wa kazi za nyumbani aliye makini ambaye anaweza akasaidia pia kazi anazofanya mke akiwa nyumbani.
Naomba watu walio serious tu.Kuhusu malipo tutaelewana kutegemeana na uzoefu, muonekano na uwezo.
Maombi yatakayoshughulikiwa haraka ni yale yatakayoambatanishwa na picha. Siyo lazima kutuma CV bali ni maelezo kwa ufupi na picha vinatosha.
Watakaowahi ndiyo watakao shughulikiwa kwanza
Email ya kutuma maombi ni ngongoti2000@gmail.com
Karibuni Sana
Niko kwenye mchakato wa kudivorce na nimehamishiwa hapa Dar kikazi, natafuta msaidizi wa kazi za nyumbani aliye makini ambaye anaweza akasaidia pia kazi anazofanya mke akiwa nyumbani.
Naomba watu walio serious tu.Kuhusu malipo tutaelewana kutegemeana na uzoefu, muonekano na uwezo.
Maombi yatakayoshughulikiwa haraka ni yale yatakayoambatanishwa na picha. Siyo lazima kutuma CV bali ni maelezo kwa ufupi na picha vinatosha.
Watakaowahi ndiyo watakao shughulikiwa kwanza
Email ya kutuma maombi ni ngongoti2000@gmail.com
Karibuni Sana