MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,788
- 3,126
Obopa mimi jamani. Vyote siwezi 😉. Halafu maelezo yake yamekaa kimtego mtegowherever bna .tuma application
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Obopa mimi jamani. Vyote siwezi 😉. Halafu maelezo yake yamekaa kimtego mtegowherever bna .tuma application
waogopa nini jiamini tuObopa mimi jamani. Vyote siwezi 😉. Halafu maelezo yake yamekaa kimtego mtego
Jina lenyewe tu "utata" ngongoti. 😉 Halafu biashara ya mke humo humo msaidizi wa nyumbani mie akuuu!w
waogopa nini jiamini tu
mi nishatuma picha .acha tuliwe tu mungu anawaonaHali ilivyongumu kwa tusio na kazi....
mtatutafuna kwakweli[emoji24][emoji24] Mungu atupiganir
jina fake ilo acha woga bana fursa iyoJina lenyewe tu "utata" ngongoti. 😉 Halafu biashara ya mke humo humo msaidizi wa nyumbani mie akuuu!
hayo mafuta unauza bei ganimi nishatuma picha .acha tuliwe tu mungu anawaona
elf 20 mkuuhayo mafuta unauza bei gani
watutafune tu ,wakikutana na miba wasije kututangaza[emoji23]mi nishatuma picha .acha tuliwe tu mungu anawaona
Mnatakiwa muombe zotekatika hiyo barua tunaomba uhausigeli au nafasi ya mke
Fursa ya kuwa mdada wa kazi nani anataka? Tunataka kuwa mke..acha masiharaBado sijapata anayefaa ...ina maana wadada hamtaki kabisa fursa hii?
HahahaaaFursa ya kuwa mdada wa kazi nani anataka? Tunataka kuwa mke..acha masihara
We hujui kazi ya mke akiwa ndani ya nyumba? Ama unajichetua tu.Tafadhali mkuu ufafanuzi hapo umesema "msaidizi wa kazi za nyumbani ambaye anaweza akasaidia pia kazi anazofanya mke akiwa nyumbani" hizo kazi za mke akiwa nyumbani ni zipi
Ndio ukifuzu manaake unakuwa mkeFursa ya kuwa mdada wa kazi nani anataka? Tunataka kuwa mke..acha masihara
Atasubiri sanaNdio ukifuzu manaake unakuwa mke
HahahahAtasubiri sana