ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Tafadhali mkuu ufafanuzi hapo umesema "msaidizi wa kazi za nyumbani ambaye anaweza akasaidia pia kazi anazofanya mke akiwa nyumbani" hizo kazi za mke akiwa nyumbani ni zipi
Unahitaji mke au msaiduzi wa kazi???Mbona iko wazi ,Msaidizi wa kazi ambaye kama atafaa anaweza akawa mke hapo baadaye
"Mwenye hadhi ya kuwa mke" manake nini
Unahitaji mke au msaiduzi wa kazi???
Malipo kila kazi ina package yake au ndio mle mle tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]UNAISHI WAPI? UNATAKA MTU WA PARTTIME MKUU I MEAN NAKUJA SAA KUMI NA MOJA JIONI
UNAISHI WAPI? UNATAKA MTU WA PARTTIME MKUU I MEAN NAKUJA SAA KUMI NA MOJA JIONI
Wee umle mtoto wa watuuuuAnaweza akaja akawa mke kama itaonekana inafaa
mi nipo free anzia saa kumi na moja mkuu hadi asubuhi nitalala hapo pia hakuna shida.unalipa anzia sh ngapi?kuna option ya kulala hapohapo na pia part time ( saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni)kulingana na tutakavyokubaliana....
sibagui kazi bwana ,bora iwe halali na decentNaona fursa yake Miss Natafuta
Ataka yote huyu!! Ataka msaidizi wa kazi, hapo hapo ataka mke. Aaamue moja, mke au msaidizi wa kazi???Tafadhali mkuu ufafanuzi hapo umesema "msaidizi wa kazi za nyumbani ambaye anaweza akasaidia pia kazi anazofanya mke akiwa nyumbani" hizo kazi za mke akiwa nyumbani ni zipi
ulaya watu wanapiga parttime kusosha vyoo mimi nitashindwa nini kazi za usafi na kupika? nasikiliza tu mshahara nianze kuwajibika bnaMwahego nenda tu yakikushinda nitaarifu nikutumie nauli
Awe na TV na pia awe na mikanda ya movie ukanenepeanaulaya watu wanapiga parttime kusosha vyoo mimi nitashindwa nini kazi za usafi na kupika? nasikiliza tu mshahara nianze kuwajibika bna