Natafuta msaidizi wa kazi mwenye hadhi ya kuwa mke

mzee umeingia na gia namba tano humu jf ....pangua gia izo anza na namba moja mpaka ukifika tano lengo lako litakua lishafanikiwa
be careful mende kibao humu
 
Hali ilivyongumu kwa tusio na kazi....
mtatutafuna kwakweli[emoji24][emoji24] Mungu atupiganir
 
katika hiyo barua tunaomba uhausigeli au nafasi ya mke
 
Bado sijapata anayefaa ...ina maana wadada hamtaki kabisa fursa hii?
 
Tafadhali mkuu ufafanuzi hapo umesema "msaidizi wa kazi za nyumbani ambaye anaweza akasaidia pia kazi anazofanya mke akiwa nyumbani" hizo kazi za mke akiwa nyumbani ni zipi
We hujui kazi ya mke akiwa ndani ya nyumba? Ama unajichetua tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…