Namini msemo usemao kidole kimoja hakivunji chawa. Na umoja ni nguvu. Mm ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nina ujuzi na uzoefu wa eneo hili. Nipo nje kidogo ya dar kilwa road. Tayari nimesha andaa mabanda ya kutosha, fens ni ufugaji nusu huria tayari nimeweka makoo na majogoo na vifaa vyote, kopo za vyakula za kutosha na kopo za maji. Kuku washaanza kutaga vifaranga 100 kila baada ya wiki 3 vinapatikana. Kutokana na maandalizi niliofanya nguvu zimenishia, nahitaji mshirika tufanye ubia tuendeleze na kukuza biashara hii, Mambo yote safi anaehitaji ushirika pm wacha namba tuwasiliane.