Natafuta mshirika katika ufugaji wa kuku wa kienyeji

Natafuta mshirika katika ufugaji wa kuku wa kienyeji

Nawashukuru wakuu wote mliopitia hapa na kuwacha michango yenu muhimu sitowasahau. Mkuu Malila, mkuu Wise-comedian, mkuu Mama Joe, mkuu Samaritan, mkuu Ameir,
mkuu Chasha poultry farm na mkuu Dampol. Kwaujumla wote nawashukuru sana napenda kuwajulisha mshirika tayari ameshapatikana tena hapa hapa Jf. Naishukuru sana Jf hakuna kinachoshindikana. Mbarikiwe wote idumu Jamii forum.

Pamoja sana , nawatakia mafanikio mema
 
Back
Top Bottom