Nawashukuru wakuu wote mliopitia hapa na kuwacha michango yenu muhimu sitowasahau. Mkuu Malila, mkuu Wise-comedian, mkuu Mama Joe, mkuu Samaritan, mkuu Ameir,
mkuu Chasha poultry farm na mkuu Dampol. Kwaujumla wote nawashukuru sana napenda kuwajulisha mshirika tayari ameshapatikana tena hapa hapa Jf. Naishukuru sana Jf hakuna kinachoshindikana. Mbarikiwe wote idumu Jamii forum.