partiner awe na:
1. Mtaji kama million 2 kwa ajiri ya mtaji na vitendea kazi
2. Awe mkazi wa Daresalaam, mwenye ueledi na ushirikiano
MCHANGO WANGU
1. Eneo la butcher, ni kwenye uzio wa nyumba yangu unaoangalia barabara, kwa hiyo hamna kodi
2. Umeme na maji
3. Nitatafuta leseni
4. nitasimamia biashara na kutunza reclord/kumbukumbu za mauzo kila siku
5. Kutafuta tender za nyama
6. Ulinzi wa vitendea kazi
ENEO LILIPO
Liko Sinza A karibu na kituo cha Remi Sheikhlango road. Njia
panda ya barabara iendayo mlimani city karibu na kumbi za harusi.
SOKO
wakazi wa eneo hili, wapita njia, wakina mamanitilie, butcher huku ni chache na ziko mbali mbali wala masoko kwa hiyo biashara ipo
KUGAWANA FAIDA
Partiner atachukua nusu au zaidi kwa kadiri ya maelewano.
Mtaji na vitendea kazi itabaki mali ya partiner
MKATABA
Partner akipenda tunaweza andikiana kwa mwanasheria
MIMi
Ni mtumzima, chapakazi, mwadilifu nina elimu ya kutosha, nina family mke na watoto tunaishi wenyewe tu hapa nyumbani Sinza makazi ya kudumu. Mi origin yangu ni Tabora
MAWASILIANO
1. private message (pm)
2. simu rigo 0672355 voda 0754639615 (saa 2 asubuhi mpaka saa 11 na nusu jioni
karibuni sana na aksanteni.
1. Mtaji kama million 2 kwa ajiri ya mtaji na vitendea kazi
2. Awe mkazi wa Daresalaam, mwenye ueledi na ushirikiano
MCHANGO WANGU
1. Eneo la butcher, ni kwenye uzio wa nyumba yangu unaoangalia barabara, kwa hiyo hamna kodi
2. Umeme na maji
3. Nitatafuta leseni
4. nitasimamia biashara na kutunza reclord/kumbukumbu za mauzo kila siku
5. Kutafuta tender za nyama
6. Ulinzi wa vitendea kazi
ENEO LILIPO
Liko Sinza A karibu na kituo cha Remi Sheikhlango road. Njia
panda ya barabara iendayo mlimani city karibu na kumbi za harusi.
SOKO
wakazi wa eneo hili, wapita njia, wakina mamanitilie, butcher huku ni chache na ziko mbali mbali wala masoko kwa hiyo biashara ipo
KUGAWANA FAIDA
Partiner atachukua nusu au zaidi kwa kadiri ya maelewano.
Mtaji na vitendea kazi itabaki mali ya partiner
MKATABA
Partner akipenda tunaweza andikiana kwa mwanasheria
MIMi
Ni mtumzima, chapakazi, mwadilifu nina elimu ya kutosha, nina family mke na watoto tunaishi wenyewe tu hapa nyumbani Sinza makazi ya kudumu. Mi origin yangu ni Tabora
MAWASILIANO
1. private message (pm)
2. simu rigo 0672355 voda 0754639615 (saa 2 asubuhi mpaka saa 11 na nusu jioni
karibuni sana na aksanteni.