PowerWithin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2014
- 646
- 501
Biashara sio kila mtu anaelewa mbali ya kufanya.Una mawazo mazuri chief, ila naomba nikushauri anza kufanya biashara mwenyewe kabla ya kutafuta partner...
Usiwe na uoga wa kirahi hivyo....fanya biashara uone utaendaje, yamkini ukiwa peke yako utafanikiwa zaidi kuliko kuwa na partner...
Na ukianza kufanya utakuwa unajua unahitaji partner wa aina gani atakae kidhi mawazo yako na mkaelewana vizuri,
So far kuwa na partner ni vizuri maana penye wawili hapashindikani kitu.
Kila la kheri chief, karibu ktk ulimwengu wa biashara.
Very thanks Mr Miller kwa ushauri wakoUna mawazo mazuri chief, ila naomba nikushauri anza kufanya biashara mwenyewe kabla ya kutafuta partner...
Usiwe na uoga wa kirahi hivyo....fanya biashara uone utaendaje, yamkini ukiwa peke yako utafanikiwa zaidi kuliko kuwa na partner...
Na ukianza kufanya utakuwa unajua unahitaji partner wa aina gani atakae kidhi mawazo yako na mkaelewana vizuri,
So far kuwa na partner ni vizuri maana penye wawili hapashindikani kitu.
Kila la kheri chief, karibu ktk ulimwengu wa biashara.