Natafuta mshirika partner wa kufanya nae biashara

Duuuu!

Ungekuwa dsm tungeweza zungumza. Hata hivyo mtaji wako bado mdogo sana. Walau kuanzia 3mln inazungumzika kiasi.
 
Biashara sio kila mtu anaelewa mbali ya kufanya.

Kajipima kaona anahitaji partner. Very nice! Hata hivyo changamoto ya business za siku hizi ni partners wenyewe, pasua kichwa!
 
Very thanks Mr Miller kwa ushauri wako
Ni kweli ukiwa pekee unakiwa huru katika kuamua mambo japo changamoto napo zipo
Be blessed Mr.
 
Diamond karanga inalipa? Location karatu maana uku azijagika kabisa.



Kingine biashara ya kuuza popcorn na changamoto zake.Naomba msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…