Natafuta mshirika wa maswala ya TEHAMA tupige pesa

Natafuta mshirika wa maswala ya TEHAMA tupige pesa

Majighu2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
2,937
Reaction score
3,959
Habari zenu great thinkers. Natafuta mshirika/washirika ambao tutafanya kazi kwa pamoja katika kutengeneza softwares zitakazotupa utajiri. Ukweli ni kwamba ajira zimekuwa ngumu lakini tuna wataalamu wengi mtaani wenye utaalamu wa kutosha.

Kwa sasa natafuta software developer(full stack) na mobile developer ili tuanze kazi.

Kwa ambao wapo interested wanicheki PM.
 
What can you offer!? What are your skills? Kwa developers kuna vitu vingi sana tuna-consider! Lazima nijiulize if its worth it mimi kukutafuta maana mara nyingi unakuta ni mtu na harakati za sakafuni.
 
Habari zenu great thinkers. Natafuta mshirika/washirika ambao tutafanya kazi kwa pamoja katika kutengeneza softwares zitakazotupa utajiri. Ukweli ni kwamba ajira zimekuwa ngumu lakini tuna wataalamu wengi mtaani wenye utaalamu wa kutosha.

Kwa sasa natafuta software developer(full stack) na mobile developer ili tuanze kazi.

Kwa ambao wapo interested wanicheki PM.
Tofauti ya software developer na mobile developer nini!?
 
Habari natafuta pia mtaalamu wa IT. Sepically software engineer au hadware engineers ambaye yuko eager kuwa part of our technical start up team in Clean Energy.
Contact me at mkoma@rumoenergy.com. website:www.rumoenery.com.

Only for serious people.
 
Unatafuta Mashirika ya kufanya nini ?
  • Una soko tayari ?
  • Una idea ya kuweza kurahisisha kilichopo ?
  • Una marketing power ya kuweza kuuza product yako
Kwanini nasema hayo kuwa na software nzuri ni one thing, watu kuikubali na kuingia mainstream ni another (mfano hata idea ya mpesa bila backing ya Vodacom isingefika popote)

Pili kuwa na software pekee ni jambo moja, kuna software nyingi nzuri hazikufika popote au kuna hata za bure Shareware na ni nzuri ila nazo hata watu kuzitumia bado inachukua promo

Nasema hayo kukutaarifu kwamba kupiga Pesa sio rahisi hivyo....; unless una idea yako, unajua jinsi ya kufanya tengeneza prototype iweke sokoni watu wakiona results unaweza kuwauzia hata big guns (mfano Youtube walivyomuuzia Google au Whatsapp ilivyochukuliwa na Facebook) au Tesla alivyogeukwa na wenzake kampuni ambayo eventually ikawa Paypal ikachukuliwa / ikauzwa kwa Ebay...)
 
Back
Top Bottom