fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
mimini mtu mzima aged 50 natafuta msichana awe nweusi asiyejichubua na ambaae anahangaika na maisha ili awe mpenzi wangu,anaweza kuwa mtumishi au mjasiriamali au mbangaizaji ili tupeane raha.awe serious na asiwe feki yule anayehisi kushindwa maisha ntampa kipaumbele
mimini mtu mzima aged 50 natafuta msichana awe nweusi asiyejichubua na ambaae anahangaika na maisha ili awe mpenzi wangu,anaweza kuwa mtumishi au mjasiriamali au mbangaizaji ili tupeane raha.awe serious na asiwe feki yule anayehisi kushindwa maisha ntampa kipaumbele
Mi sijiu hata nikuambie nini,anyway heri kukoswa mali kuliko hekimamimini mtu mzima aged 50 natafuta msichana awe nweusi asiyejichubua na ambaae anahangaika na maisha ili awe mpenzi wangu,anaweza kuwa mtumishi au mjasiriamali au mbangaizaji ili tupeane raha.awe serious na asiwe feki yule anayehisi kushindwa maisha ntampa kipaumbele
Yaani shida za maisha ndo kigezo!!???? unataka utumie shida zake kwa ajili ya nini!!?
mimini mtu mzima aged 50 natafuta msichana awe nweusi asiyejichubua na ambaae anahangaika na maisha ili awe mpenzi wangu,anaweza kuwa mtumishi au mjasiriamali au mbangaizaji ili tupeane raha.awe serious na asiwe feki yule anayehisi kushindwa maisha ntampa kipaumbele
pokea like 100Watu wa aina yako wanaitwa saddists. Ambao wanapenda kutumia mianya kufanya wenzao wanyonge. Hauna tofauti na mtu anaetafuta mchumba, mwenye hela apewe kipaumbele. Upendo haupaswi kutanguliwa na umaskini ama utajiri wa mtu, it is beyond that. Mtu anaetaka attention yangu ya mapenzi na kujitanguliza unyonge wake wa mali ama utajiri wake huwa hata simsikilizi.