natafuta msichana mwenye maisha ya shida

natafuta msichana mwenye maisha ya shida

mbona ni easy kuwapata, nenda kwenye madanguro! hongera kwa kuwa streight foward!
 
mimini mtu mzima aged 50 natafuta msichana awe nweusi asiyejichubua na ambaae anahangaika na maisha ili awe mpenzi wangu,anaweza kuwa mtumishi au mjasiriamali au mbangaizaji ili tupeane raha.awe serious na asiwe feki yule anayehisi kushindwa maisha ntampa kipaumbele

wasikuone kwa maneno kwani umejieleza vzuri kwamba unatafuta msichana anayehangaika na maisha na mwenye shda kam mtu anaona han sifa hizo si awaachie wenye sifa zao wachangamkie tenda.
 
Mie ninashida... Nahitaji jumba la gorofa la kifahari na gari aina ya hummer..!! Nitaku PM..
 
mimini mtu mzima aged 50 natafuta msichana awe nweusi asiyejichubua na ambaae anahangaika na maisha ili awe mpenzi wangu,anaweza kuwa mtumishi au mjasiriamali au mbangaizaji ili tupeane raha.awe serious na asiwe feki yule anayehisi kushindwa maisha ntampa kipaumbele

Nilidhan Maji Marefu kahamia kwenye siasa kumbe bado anaendeleza kipaji?mwambie afanye editing ya hayo masharti yake,kudadadeki!!
 
ni PM nikupe msichana nimempata kama uko serious kweli,alikuwa jambazi sana ameangaika huku na huku ajawahi kufanikisha lengo la ujambazi kujipatia fedha haraka,alikamatwa mwaka 2003 kwa kosa la ujambazi na kumiliki SmG,alihukumiwa jela miaka 10 ndo ametoka tarehe 29 mwezi wa10 mwaka huu,yupo tu mtaani kwetu ni rafiki yangu sana anatafuta bwana mana amehangaika sana,mkuu fimboyasali ni PM nikupe namba zake
 
Watu wa aina yako wanaitwa saddists. Ambao wanapenda kutumia mianya kufanya wenzao wanyonge. Hauna tofauti na mtu anaetafuta mchumba, mwenye hela apewe kipaumbele. Upendo haupaswi kutanguliwa na umaskini ama utajiri wa mtu, it is beyond that. Mtu anaetaka attention yangu ya mapenzi na kujitanguliza unyonge wake wa mali ama utajiri wake huwa hata simsikilizi.
Tuwe wakweli.
Uki step out of a lambourghini unaonekana handsome .... money is everything, I mean everything.
 
Na kama kuna gari sijawahi kuipenda wala kuitamabi ni lambourghini. Hata sijaona cha mno kwa hiyo bei.

Well kama weqe unapenda mali, wenzio hatuko huko. Mali tumetafuta za kwetu na zimetutosha. Kuna mtu ana mali ila kichwa haina kitu. Starehe ya kuendesha vitz ni bora kama hiyo gari mtoto yako baba!
Tuwe wakweli.
Uki step out of a lambourghini unaonekana handsome .... money is everything, I mean everything.
 
Na kama kuna gari sijawahi kuipenda wala kuitamabi ni lambourghini. Hata sijaona cha mno kwa hiyo bei.

Well kama weqe unapenda mali, wenzio hatuko huko. Mali tumetafuta za kwetu na zimetutosha. Kuna mtu ana mali ila kichwa haina kitu. Starehe ya kuendesha vitz ni bora kama hiyo gari mtoto yako baba!
I guess..... ila nikiulizwa binadamu ana miguu mingapi nitasema miwili ... ingawa wapo wenye mguu mmoja.

I know money gets you p~$$y, a lot of p~$$y!!! ndiyo maana mkuu kaamua awe mkweli.
 
Awe na shida za maisha ili baadae umnyanyase...duuh dunia hii.
 
Jamani, Fimbo ya asali katoa la moyoni.....
Tuwaache watakaovutiwa nae waende wakaponde raha!!!..

Mie naona yuko sahihi, basi tu watu humu ndani wameanza kumuandama kwa kujifanya wanaharakati....!!
Kuna watu wanashida mno kimaisha kiasi kwamba wako tayari kujiuza wapate pesa, mie ndio nadhani bwanamkubwa anawalenga!!!

nakuunga mkono na miguu. kila mtu na vigezo vyake vya kuwa na mtu. haramu kwako, halali kwa mwenzako.
 
mimini mtu mzima aged 50 natafuta msichana awe nweusi asiyejichubua na ambaae anahangaika na maisha ili awe mpenzi wangu,anaweza kuwa mtumishi au mjasiriamali au mbangaizaji ili tupeane raha.awe serious na asiwe feki yule anayehisi kushindwa maisha ntampa kipaumbele

We mzee utampa starehe gani binti wa miaka 30-35 akikukubali zaidi ya kumpotezea stimu tu????

Hata hivyo kila la kheri katika mawindo yako.
 
Back
Top Bottom