Natafuta Msichana wa Kumwoa

Natafuta Msichana wa Kumwoa

Elimu yako chuo kikuuu wewe usitake kudanganya watu hapa kwanza mke hatafutwi kwakigezo cha elimu yako pili weka vyeti mezani kama kweli unaelimu ya chuo usituletee ubashite hapa......... tatu kama hauna cheti cha kuzaliwa hupati mke humu usije ukawa al shabab ukaenda kumvisha mtoto wawatu mabomu.
 
Huko ulikotembea na waliokuona physically hakuna aliyewahi kuwa interested?
ina maana wewe unavyompenda kimyakimya iceman 3D wa hapa JF inamaanisha huko mtaani kwako hakuna watu ambao wamekuona na kuwa interested na wewe?![emoji1]
 
Una hela kaka?mshahara unapokea rangi ya laki au M?
 
Iceman 3D njoo uone haya.
Hivi ni kwa nini unampenda kimyakimya lakini?[emoji1].........Si utangaze tu jamani ili na yeye ajue kuwa anapendwa!🙂.........kwa sababu nina uhakika asilimia mia hata yeye hajui kama anapendwa![emoji30]......but sad news ni kwamba ni mdogo kwako! [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Elimu sio kigezo mi nmejieleza mimi kama mimi kuwa naelimu gani naishi wapi hata ukitaka nikwambie kazi yangu,maendeleo yangu mshahara wangu kila kitu nikutumie na picha nakupa tu ili mradi maelewano tu
 
Kwa hiyo unaamini huyo msichana utakayempata huko kwao hakuna wanaume? OK kama unatafuta msichana wa kumuoa hamtakawia kuachana kutokana na tabia za wasichana zilivyo! Ila kama kweli una nia ya dhati ya kuoa, nakushauri utafute mwanamke mnaeendana kwenye eneo ulilopo.
 
Kwa hiyo unaamini huyo msichana utakayempata huko kwao hakuna wanaume? OK kama unatafuta msichana wa kumuoa hamtakawia kuachana kutokana na tabia za wasichana zilivyo! Ila kama kweli una nia ya dhati ya kuoa, nakushauri utafute mwanamke mnaeendana kwenye eneo ulilopo.
Asantee kwa ushauri
 
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26
Elimu ni Chuo kikuu.

Nimeajiriwa nipo kikazi Arusha.

Natafuta msichana wa Malengo nae atakae nipenda na nitakaempenda awe mama bora wa familia niwe baba bora wa familia.
Nitampenda maisha yangu yote[emoji8]
umri miaka 20-26 kunijua zaidi anicheki.

Hobbies: Music,Movies,Comedy,Hiking & Drawing, & joke

Food:Wali Samaki,Ugali Samaki,
njoo unioe mimi
 
Back
Top Bottom