Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni Mkristo, nenda kanisani Misa ya saa 3. Mungu atakuonyesha mwenza
Hii ni ya kisayansi au inatokana na nini?, kwanini isiwe misa ya saa nne au ya saa moja?, au saa tatu ndio kuna singlesKama ni Mkristo, nenda kanisani Misa ya saa 3. Mungu atakuonyesha mwenza
Wadada wa JF nafasi bado ipo na kama vigezo nilivyoweka mwaona ni vigumu hiyo isijalishe saaana we ni-pm then weka mambo mezani huenda tukafikia muafaka ! Naamini muda sio mrefu naweza mpata mtu ambaye kwa pamoja ndoto zetu zitatimia na ikibidi hata wapendwa wenzetu wa Jf tutawakaribisha! SINGLE LADIES U'RE WARMLY WELCOME!
Wapendwa wadada wa JF,
Kwa heshima na taadhima naomba kuwafahamisha kuwa mimi natafuta msichana ambaye na yeye anatafuta mwanaume ili kuweza kufunga ndoa na kuachana na maisha ya Ukapera. Kumpata mwenza wa kuishi nae ni jambo gumu sana lakini yote huongozwa na mungu. Nimeona nijitokeze hapa JF huenda mungu akanisaidia kumpata mwanamke ambaye huenda mungu akatujalia na kuwa mwili mmoja na hatimaye kujenga familia yenye furaha, amani na upendo.
Mimi nina miaka 32, sijawahi oa coz muda mwingi nilikuwa nahangaika na maisha pamoja na kujipatia elimu ambayo ni msingi bora katika dunia ya leo. Nina elimu ya juu ya chuo kikuu-ndani +nje ya Tanzania, mwajiriwa, dini-mkristo-Rc, kabila -Mtanzania, urefu-168 cm, sio mnene wala sio mwembamba. Natumia kilevi - bia 1 au 2 kupunguza mawazo ya upweke coz am single.
Sifa za mwanamke: Ningependa nimpate mwanamke mwenye sifa zifuatazo: Awe na umri kati ya miaka 18 hadi 30. Haijalishi-awe mnene au mwembamba poa tu, awe serious kama kweli ana nia ya kuolewa, elimu aanzie kidato cha NNE(FORM 4) hadi masters degree hakuna shida or Phd if possible, sina ubaguzi wa dini coz linajadilika, na pia sina ubaguzi na ukabila ila ni vema awe tu MTANZANIA. Tabia njema ni silaha hivyo ningefurahi kumpata mwanamke ambaye atajua nafasi yake kama MKE.
Kama kuna mwanamke/msichana ambaye anadhani tunaweza kumake life pamoja naomba Ani-PM na hata kama unataka tufahamiane zaidi kabla ya kufanya maamuzi yako pia unaweza ukani-PM! AM MORE THAN SERIOUS, NA WANAWAKE/WASICHANA MNAKARIBISHWA! Thanking you in advance![/QUOTE
ungeweka contact kaka even email ..................................
kila la heri.
Sahivi mnaotafuta wachumba mtubandikie na picha.
Tunaogopa kuingia choo cha watoto.