Natafuta msichana wa kuoa ili niachane na maisha ya ukapera

MAELEZO YAKO MAZURI NADHANI UTAPATA ACC TO UR DESIRE AND WISH,USIJALI NGOJA NIKUWEKE KWENYE MAOMBI KAMA NTAONGOZWA NTAKU PM😛ray2:

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwako na wengineo wote! Asante sana!
 
Kama ni Mkristo, nenda kanisani Misa ya saa 3. Mungu atakuonyesha mwenza
 
Kama ni Mkristo, nenda kanisani Misa ya saa 3. Mungu atakuonyesha mwenza

Asante kwa ushauri wako lakini pia utanisaidia sana kama utanifafanulia kwa nini niende misa ya saa 3! Is there anything special in that mass or it is a proper time for those ladies who are single? Nisaidie kufafanua hilo plse mkuu!
 
Kama ni Mkristo, nenda kanisani Misa ya saa 3. Mungu atakuonyesha mwenza
Hii ni ya kisayansi au inatokana na nini?, kwanini isiwe misa ya saa nne au ya saa moja?, au saa tatu ndio kuna singles
 
Wadada wa JF nafasi bado ipo na kama vigezo nilivyoweka mwaona ni vigumu hiyo isijalishe saaana we ni-pm then weka mambo mezani huenda tukafikia muafaka ! Naamini muda sio mrefu naweza mpata mtu ambaye kwa pamoja ndoto zetu zitatimia na ikibidi hata wapendwa wenzetu wa Jf tutawakaribisha! SINGLE LADIES U'RE WARMLY WELCOME!
 

kumbe bado hujapata tu naona mungu kakuumba kwa ajili yangu hebu cheki pm yako basi
 
 
umeshafanikiwa?
ni vizuri kutujulisha coz wengine tulikuweka kwenye maombi.
 
Kila la heri.
Sahivi mnaotafuta wachumba mtubandikie na picha.
Tunaogopa kuingia choo cha watoto.
 
kila heri mkuu, ngoja nirudie tena kum-PM Mod ili aanzishe JF single club forum, nadhani itakuwa bomba zaidi.
 
ninae dada yangu ana sifa zote ulizozitaka lakini ni disabled na anatumia wheel chair. Je utamwoa?
 
Habari yako Ngoswe,ukapotelea wapi tena jamani?.....lol
Natumai,mambo shwari mkuu........:laugh::laugh:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…