Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Shenzi kabisa weee ahahahahhChura ipo lakini?......isije ikawa nachezea hela zangu bure![emoji30]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shenzi kabisa weee ahahahahhChura ipo lakini?......isije ikawa nachezea hela zangu bure![emoji30]
Tuma nauli
Mi ntakuwa huku mapangoni na Nyani Ngabu
Wote hatuna nguo za thikukuu
Chek na Miss Natafuta... Yule huwa always yuko single and available...Natafuta msichana wa kutoka nae Christmas hii! Awe dar, umri miaka 17-27. Asiwe mwanafunzi wa secondary au primary(miaka 30 shida)! Awe na nguo za sikukuu tu...mengine nitacover. [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Nyani Ngabu anadai kuwa Valentina ana chura kuliko wewe!!......kwa hiyo huenda sikukuu hii huna lako![emoji30]Mi ntakuwa huku mapangoni na Nyani Ngabu
Wote hatuna nguo za thikukuu
Natambua uwepo wako humu ndani ya JF,
Soma tuu maana hamna jinsi asome!
Tumekuwa nae kwenye uhusiano hadi kufikia kutambulishana kwa wazazi, Mungu si athumani akapata ufadhili nchi za wenzetu kusoma huku nyuma akiniacha mjamzito, kitu ambacho alikifurahia sana kwa kuwa age imeenda sana na hakuwa na mtoto, tumewasiliana vizuri nikalea mimba kufika miezi 5 vitimbwi vikaanza ikiwamo kunipa shughuli nzito zilizopelekea mimi kusumbuka sana na ujauzito.
Tulikubaliana aliahidi pia kutuma vitu vya mtoto mapema! Lakini haukuwa hivyo, kuna mzigo aliagiza toka huko kuuzwa hapa Dar, nikaona bora nichukue pesa yake kwa maandalizi ya mtoto kwa kuwa nilishaona zengwe.
Kufikia miezi 7 akakata mawasiliano kabisa hadi nikamsahau, Mungu kanijalia nimejifungua salama sasa anarudi kutaka ita mwanangu! Je nimchukulieje huyu mtu?Huko aliko ana mambo chungu mzima nilipomuuliza hatukuongea na nikaachana nayo, akirejea anakujafunga ndoa na mwanamke mwingine huku akiacha maswali mengi kwa ndugu na jamaa zake, sasa, sioni umuhimu wake kwetu mimi na mwanangu na hata uwajibikaji japo salam tu ni zero.
Nisaidieni mawazo wanajamii.
Yesuuu!!!!!Nunua then nitafute [emoji4]
Hahahahahaha aisee umenichekeshaa sanaNyani Ngabu anadai kuwa Valentina ana chura kuliko wewe!!......kwa hiyo huenda sikukuu hizi huna lako![emoji30]
Mara ngapi?Nini we kashingo....unataka nikudinye?
Jamaa atakununulia anaonesha ana moyo huomimi nipo, nguo za Thikukuu thina[emoji41]
Mara ngapi?