engineerm
Senior Member
- Aug 30, 2011
- 106
- 19
[h=2][/h]
Wakuu wa jf,mimi ni mwanaume miaka 30,niko masomoni nje ya nchi nategemea kurudi Tz by june this year ,natafuta msichana ili tuanze mawasiliano saizi ili nikifika tumalizie tu taratibu za mwisho.sifa za msichana
1.Awe na elimu kuanzia form six.
2.Dini sibagui ijapo mimi ni mkristo
3.Awe Mcha Mungu sana maana mimi ni mcha Mungu pia mpole sana
4.Awe na miaka kuanzia 23 hadi 28.
5.Awe haja zaa mtoto wala hajawahi olewa.
Mwenye sifa hizi please ni-PM ili mawasiliano yaanze yaani niko very serious.
1.Awe na elimu kuanzia form six.
2.Dini sibagui ijapo mimi ni mkristo
3.Awe Mcha Mungu sana maana mimi ni mcha Mungu pia mpole sana
4.Awe na miaka kuanzia 23 hadi 28.
5.Awe haja zaa mtoto wala hajawahi olewa.
Mwenye sifa hizi please ni-PM ili mawasiliano yaanze yaani niko very serious.