Jamani hata wewe best unanichana!? Sina nia mbaya si unajua tena kuna mambo mengine ni ya ndani sana siyo ya kuyaweka humu jamvini maana yataonyesha udhaifu na kuharibu badala ya kutengeneza na pia BW wangu usiwe na wasiwasi kama unaona hatari tutaenda mimi na wewe na hapata haribika jambo wewe si unaelewa mambo fulani ya ndani jamani!?Kwa msaada zaidi ni pm nitakupa namba zangu nitakusaidia na hata kuongea naye kwa akili itakapobidi bila kujua kuwa umemwanika hadharani. But kumbuka kumpenda mtu ni kuamua amua kumpenda mume wako kwa gharama yoyote ileMkuu hapo yangu macho:mod: BT....pole sana cha muhimu ni kumsamehe na kujifunza kumpenda tena...............ni ngumu kwa uwezo wako binafsi mshirikishe Mungu
Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi) japo niliambulia ulcers na BP na wala hakujali. sasa ukafikia wakati mwanzoni mwaka huu moyo ukakataa kabisa yani najitahidi kuwa na hisia za mapenzi na huyu mme wangu lakini wapi yale yote ya nyuma yanajirudia!! sasa ndio kashtuka na mimi moyo umegoma kabisaaaaa yani yeye ndio amekuwa kama mimi nilivyokuwa zamani yani hatulii kwa wivu na kuumwa roho lakini mimi mapenzi kushney nikimuangalia najiuliza hivi nilimpendea nini?? namuonea huruma anavyohangaika lakini roho yangu haitaki tena, nahitaji mtaalamu anishauri sijui kama nataka hii ndoa au siitaki kifupi sijielewi ila najua kuwa mapenzi ya hisia kutoka kwangu kwenda kwa mwenzangu hakuna, japo simchukii namuona kama ndugu yangu hivi.
Achana na huyo Bwana hata kama akijiua. Mtu ambaye alikuwa akikusumbua hupaswi kuendelea kumbembeleza. We tafuta kidume kingine ambacho utakuwwa unakipenda kikupe raha. Usijinyime raha maisha ni mafupi ndg yangu. Habari ndo hiyo. Kama vipi tukutane kwenye private.
Asanteni sana kwa michango yenu.
1. Ni kweli tunaishi nyumba moja
2. Ni kweli kayumba kifedha sana kwa sasa zaidi hana ajira kwa sasa, mimi ninayo nzuri kuliko yeye and it has always been like that, mimi ndio provider mkuu wa family mara nyingi.
3.tuna watoto 2
4. Me in love with someone else?? not sure...
Pole sana. Km amejirudi nawe rudi anzeni upya na km wakati ana run huko nje na wewe ulijipatia m2 wa kukusitiri bs lazma umuone km kakako so acha ya nje focus kwake kwa sasa kwa kupiga moyo konde na anza kufikiria yaliyo mazuri toka kwake, achana na huyo anaekufanya umuone si ki2 then anza kumuangalia kivingne. Jikaze cku moja akija toka either job, mkumbatie, mkiss, ongea nae vizuri kwa adabu, kuleni pamoja then ogeni pamoja km mazingira yanaruhusu then nenda kamuonyeshe ufundi wako kitandani ukimaliza hayo mweleze how much u love him na jinsi anavyokutesa. Mwambie pamoja na yote yaliyotokea ucku huo uwe ndio mwanzo mpya wa pendo lenu, i knw atarepent, nawe umsamehe na utakuwa huru ktk nafsi yako. Unajua Wanaume ni watu ambao wakioneshwa pendo kidogo tu hubadilika sana so kwa vile ameanza kuchange ukifanya na hayo bs atakuwa gud boy daima. Gv him chance and gv urself chance too cuz i knw u hv sm feelings toward him though its little make it to grow! Km wewe ni Mkristo, unajua ukishaolewa bs ukiachana nae ndio mwisho wa kuolewa then kwa nini umwache uliemzoea na kwenda kuanzisha mahusiano mapya yasiyo na u2kufu? Mpe nafasi, mpende, na mheshimu, ji2nze na anza kumwangalia kwa jicho zuri, mambo yatakuwa ok. AMINI NOBODY CAN MAKE U BAD, MAD, SAD OR GLAD BT WE CHOOSE WHAT TO BE SO ITS UR CHOICE TO LOVE OR REJECTING HIM.
Hello Asha Ngedere,
jitahidi kuwa mkweli kwani umetuma ombi lako la kuwa unahitaji mtaalamu wa mambo ya mahusiano uku hali ukijua kuwa unadanganya, kwa ufupi mtu ulie mtumia ombi lako namfahamu,
Na nillijaribu kuwasiliana nae ili aweze kukusaidia, ila nawe ulimwandikia e-mail, ila katika ombi lako ulikuwa umendanganya, mara miaka 10 mara 5. pia jinsia umedanganya,
kwa ufupi huna tatizo. acha kuumba matatizo.