Natafuta mtoto wa kike mwenye sifa zifuatazo:
Asiwe na urefu wa zaidi ya futi 6 au chini ya futi nee.
Awe na rangi ya maji ya kinda, hata akiwa mweupe hakuna yaani.
Asiwe na zaidi ya miaka 25.
Awe na na umbo lisilolofautiana sana na lile la myigu.
Mwisho awe anafaa kuwa mke.
Ukiona andiko hili usisite kuniunganisha na huyo msichana awe dada yako, mtoto wako utakuwa umefanya la maana mno.
Kumbukeni Mimi ni mtu na nusu.
Asiwe na urefu wa zaidi ya futi 6 au chini ya futi nee.
Awe na rangi ya maji ya kinda, hata akiwa mweupe hakuna yaani.
Asiwe na zaidi ya miaka 25.
Awe na na umbo lisilolofautiana sana na lile la myigu.
Mwisho awe anafaa kuwa mke.
Ukiona andiko hili usisite kuniunganisha na huyo msichana awe dada yako, mtoto wako utakuwa umefanya la maana mno.
Kumbukeni Mimi ni mtu na nusu.