oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Hilo liko nje ya uwezo wa binadamu... Ongea na Mungu kupitia sala na maombi utafanikiwa.habari zenu ndg..
mim ni kijana mwenzenu nina mtoto wa kike tayar sasa iv nahitaji mtoto wa kiume je ni taratibu gan naweza kuzifanya ili kupata mtoto wa kiume kupitia mzunguko wa siku za mke wangu.
NB: lengo langu ni kuwa na watoto wawili tu me &ke
kuna taratibu za kitabibu ww km hufaham kaa kimyaWw ni m2 mzma hvyo use unaanzisha threads zinazoreflect utu uzma wako, au unaona sifa, au unadhani watoto wanapatkana kwa mipango ya kibinadamu 2?? Hebu jiongeze mwnyw
Oko, dawa ya maji maji, jina lako limenikumbusha mbali sana... Yeah, kuna watu wanajitahidi kwa kubalance days. Inasemekana kuwa mbegu za mtoto wa kike za XX zina uwezo wa kuishi kwenye mji wa mimba wa mwanamke kwa masaa 24 tu ihali mbegu za mtoto wa kiume za XY zina uwezo wa kuishi hadi masaa 72 ndani ya mji wa mimba wa mwanamke.nackia kuna taratibu unaweza kuzifata na ukafanikiwa
Umeeleza kinyumeOko, dawa ya maji maji, jina lako limenikumbusha mbali sana... Yeah, kuna watu wanajitahidi kwa kubalance days. Inasemekana kuwa mbegu za mtoto wa kike za XX zina uwezo wa kuishi kwenye mji wa mimba wa mwanamke kwa masaa 24 tu ihali mbegu za mtoto wa kiume za XY zina uwezo wa kuishi hadi masaa 72 ndani ya mji wa mimba wa mwanamke.
Kwa hiyo kama mwanamke yai linategemewa kupevuka siku mbili hadi tatu baadaye, ukijamiiana leo, baada ya masaa 24 mbegu za XX zitakuwa zimefariki na kwenye mji wa mimba zitabaki mbegu za XY. So by the time yai linapevuka na kushuka kutoka kwenye ovary kuja kwenye mji wa mimba, litakutana na mbegu za XY na hapo ndipo kunapokuwa na uwezekano wa mtoto wa kiume kutungwa...
Hee! Nadhani wewe ndio umeelewa kinyume πππUmeeleza kinyume
thanx mkuu kw information zako ntazifanyia kaz..Oko, dawa ya maji maji, jina lako limenikumbusha mbali sana... Yeah, kuna watu wanajitahidi kwa kubalance days. Inasemekana kuwa mbegu za mtoto wa kike za XX zina uwezo wa kuishi kwenye mji wa mimba wa mwanamke kwa masaa 24 tu ihali mbegu za mtoto wa kiume za XY zina uwezo wa kuishi hadi masaa 72 ndani ya mji wa mimba wa mwanamke.
Kwa hiyo kama mwanamke yai linategemewa kupevuka siku mbili hadi tatu baadaye, ukijamiiana leo, baada ya masaa 24 mbegu za XX zitakuwa zimefariki na kwenye mji wa mimba zitabaki mbegu za XY. So by the time yai linapevuka na kushuka kutoka kwenye ovary kuja kwenye mji wa mimba, litakutana na mbegu za XY na hapo ndipo kunapokuwa na uwezekano wa mtoto wa kiume kutungwa...
Zenye uwezo wa kuishi mda mrefu ni XX sio XY.Hee! Nadhani wewe ndio umeelewa kinyume πππ
mbn mnanichanganya wakuu..Zenye uwezo wa kuishi mda mrefu ni XX sio XY.
Nadhani ingekuwa vizuri kama unge refer maandiko!Zenye uwezo wa kuishi mda mrefu ni XX sio XY.
hakuna kitu kama hiyo mwenyezmungu ndo mwenye kukupangia upate wa kike au wa kiume cha msingi ni kuomba mungu tu akupe watoto wenye kheir na wewe wapate kukusaidia mbeleni unaweza pata wa kiume asikusaidie chochote na wa kike ndo akakuokoa hayo yote ni mipango ya mungu muombe mungu wako akuwezeshe kupata mtoto mwenye kheir nawewe tuthanx mkuu kw information zako ntazifanyia kaz..
Kwa uwandishi uu wanakufaa watoto WA kike tukuna taratibu za kitabibu ww km hufaham kaa kimya
Mkuu Mungu wetu anandikwa Kwa herufi kubwaHapo m/mungu ndo mpaji hata iweje