oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Habari zenu Ndugu!
Mimi ni kijana mwenzenu nina mtoto wa kike tayari sasa hivi nahitaji mtoto wa kiume. Je, ni taratibu gani naweza kuzifanya ili kupata mtoto wa kiume kupitia mzunguko wa siku za mke wangu.
NB: Lengo langu ni kuwa na watoto wawili tu Me &Ke
Mimi ni kijana mwenzenu nina mtoto wa kike tayari sasa hivi nahitaji mtoto wa kiume. Je, ni taratibu gani naweza kuzifanya ili kupata mtoto wa kiume kupitia mzunguko wa siku za mke wangu.
NB: Lengo langu ni kuwa na watoto wawili tu Me &Ke