Natafuta mtu aliyesoma Computer Science

Natafuta mtu aliyesoma Computer Science

Joined
Aug 15, 2021
Posts
11
Reaction score
16
Kama kichwa Cha habari kisemavyo Kuna projects nafanya inahusika na biological database, natafuta mtu aliyesoma computer science na anakaa Dar asiwe na kazi sababu mda mwingi atakua kwenye hii project

Vigezo
Awe amemaliza chuo mwaka jana
Awe na uwezo wa kufanya presentation bila uoga au kutetemeka
Awe na degree ya computer science
 
Kama kichwa Cha habari kisemavyo Kuna projects nafanya inahusika na biological database, natafuta mtu aliyesoma computer science na anakaa Dar asiwe na kazi sababu mda mwingi atakua kwenye hii project

Vigezo
Awe amemaliza chuo mwaka jana
Awe na uwezo wa kufanya presentation bila uoga au kutetemeka
Awe na degree ya computer science

Mawasiliano
0768403773
Ukimkosa huyo wa Dar nichecki Mimi wa Mwanza si kuna zoom, n.k yah, nicheki
 
Ukimkosa huyo wa Dar nichecki Mimi wa Mwanza si kuna zoom, n.k yah, nicheki
Kama kichwa Cha habari kisemavyo Kuna projects nafanya inahusika na biological database, natafuta mtu aliyesoma computer science na anakaa Dar asiwe na kazi sababu mda mwingi atakua kwenye hii project

Vigezo
Awe amemaliza chuo mwaka jana
Awe na uwezo wa kufanya presentation bila uoga au kutetemeka
Awe na degree ya computer science
Km hujampata nicheki Mimi hapa 0754332571
 
Back
Top Bottom