Natafuta mtu anayesoma diploma ya Procurement and supply chup kikuu huria OUT.

euca

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
3,811
Reaction score
4,178
Habari za wakati huu wana jamiiforum, Rejea kichwa cha Habari hapo juu ni kwamba Nina tafuta mtu anayesoma katika Chuo Kikuu huria OUT, kozi ya procurement and supply ngazi ya Diploma lakini pia kama Kuna mtu utakuwa unamfahamu na hayupo humu basi waweza niunganisha naye PM ipo wazi,Ahsante.
 
Karibu
 
Tatizo linaanzia hapo kwenye "CHUP KIKUU".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…