Natafuta mtu anayesomea Kiswahili UDSM anipe muongozo

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Habari.

Natafuta mtu anayesomea Shahada ya Kiswahili UDSM anipe msaada wa uchambuzi wa vitabu fulani vya Kiswahili. Ni Muhimu awe mwanafunzi maana kazi tutaifanyia chuoni.

Naomba aniDM.
 
Habari. Natafuta mtu anayesomea shahada ya kiswahili UDSM anipe msaada wa uchambuzi wa vitabu fulani vya kiswahili. Ni Muhimu awe mwanafunzi maana kazi tutaifanyia chuoni. Naomba aniDM.
Hizo kazi sidhani kama ni lazima mtu awe mwanafunzi. Ushauri wape watu wakufanyie. Usiweke masharti wapo watu wanafanya hizo kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…