Wabongo mnaboa sana aisee,Mm nipo dar kwa sasa lakini naweza kukuletea hizo tray! Tunaweza kuonana pia Hamna shida njoo inbox
Mwenye shida ndo afuate mwingine, yy anahitaji maanake ana shida! Order zipo nyingi ! Sio yy peke yake wapo wengi!Wabongo mnaboa sana aisee,
Hivi ungeanza wewe kwenda inbox kungetokea nini kwani?
Kwa hiyo umekaa umekunja nne unasubir mteja aje inbox. Asipokuja utasingizia biashara ngumu au watu wanakuloga.
Kwa hiyo baada ya wewe kugundua kua yeye ndo ana shida na bidhaa zako ndo unaamua kukunja nne kumsubiri? Hao wateja walioko wengi huhitaji kuongeza Wengine?Mwenye shida ndo afuate mwingine, yy anahitaji maanake ana shida! Order zipo nyingi ! Sio yy peke yake wapo wengi!
Kulikoni?Mimi ninaweza ila hatuwezi kukutana
ShukraniWacheki mifugo tz.
Ni changamoto😅😅Kwa hiyo baada ya wewe kugundua kua yeye ndo ana shida na bidhaa zako ndo unaamua kukunja nne kumsubiri? Hao wateja walioko wengi huhitaji kuongeza Wengine?
Acha hiyo mentality ndugu.
Nakuja bro😄Mwenye shida ndo afuate mwingine, yy anahitaji maanake ana shida! Order zipo nyingi ! Sio yy peke yake wapo wengi!