Natafuta mtu wa hivi

Natafuta mtu wa hivi

Hapana mkuu sitafuti marafiki wa kuongea na kushauriana....ni kitu ambacho kinatokea automatic unajikuta umeshibana na mtu...and the rest comes on
Ni kweli naukiwa Karibu na mtu inakuwa sawa sio lazima mfanye lolote kihivyoo.
 
Hivi kuna mwanaume bwege wa hivi kweli yaani uchat na mimi, nikushauri na tuwe marafiki alafu mbunye umpelekee mwingine aichakate labda kama umesahau kusema utakuwa unampa papuchi siku moja moja
 
Hivi kuna mwanaume bwege wa hivi kweli yaani uchat na mimi, nikushauri na tuwe marafiki alafu mbunye umpelekee mwingine aichakate labda kama umesahau kusema utakuwa unampa papuchi siku moja moja
😁😂😂🤣🤣 kwani siuttafuta tu
 
Back
Top Bottom