Jifunze kutoa details za muhimu unapohitaji msaada. Hiyo fremu unaitaka maeneo gani?
Au hata huku kwetu Tandahimba unaweza kuja?
Amefanyia kazi ushauri wangu. Ame-editUmesoma hadi mwisho kweli? Maana kwangu inasomeka anataka mtu wa kufanya nae biashara Arusha au kwako haipo mkuu
Amerekebishambona nimeandika mkuu
soma mpaka mwisho
Yaani wote mshee hizo tigo pesa au? Yaani unaetaka kushea naye awe na fremu ya tigo pesa na wewe uweke tigo pesa ndani ya fremu hiyohiyo halafu mshee kulipa kodi ya fremu? Kwa hiyo namba za wakala zinakuwa mbilimbili? Hamuwezi kupata Faida yakueleweka,
Wafanyabiashara wengi huwa hawapendi utaratibu wa aina hiyo. Hivyo ukikosa huyo mtu wa kushirikiana nae, tengeneza/nunua kibanda kidogo cha bati, tafuta hilo eneo lililo changamka, then fanya biashara.anaweza akawa anafanya biashara tofaut