Habari!!!
Natafuta mtu wa kuendeleza project niliyoianza ya kilimo (eka 10, kilimo cha umwagiliaji, Dakawa-Morogoro).
Mpaka sasa 85% ya shamba limeshalimwa, liko katika hatua ya upandaji! (lengo ilikuwa kupanda mahindi na kuuza kama mahindi mabichi)
SABABU
1.Kuna hela (running cost) inahitajika haraka ili kulipia mpira wa water pump kwa ajili ya kumwagilia na pia hela ya mafuta ambayo kwa sasa sina, hela ya uhakika nayotarajia kwa ajili ya mradi ni mpaka mwezi wa 11 mwanzoni(nitakuwa nimechelewa, makubaliano kuhusu matumizi ya shamba ni mwezi wa kwanza mwanzoni, mbegu niliyopanga kupanda ni ya miezi miwili na nusu)
2.Mwezi wa 11 nina project nyingine ya kilimo natakiwa kuanza, so gharama za uendeshaji zinaweza kuwa kubwa sana. Ni project kubwa zaidi, inahitaji maandalizi ya mapema.
Nina vibarua 4, vifaa vya kulimia na water pump, pia vibarua wanakaa shamba.
Kwa atakayekuwa tayari itabidi anunue mpira immediately, ili kuwahi upandaji uwe ndani ya muda. Water pump kama hana nitamkodishia. Pia naweza kuendelea kusimamia shamba na kuendelea kutumia vibarua wangu kwa makubaliano maalum.
Kingine, itabidi anilipie gharama za uendeshaji nilizotumia.
Kwa aliye tayari ani pm
Asante.
Natafuta mtu wa kuendeleza project niliyoianza ya kilimo (eka 10, kilimo cha umwagiliaji, Dakawa-Morogoro).
Mpaka sasa 85% ya shamba limeshalimwa, liko katika hatua ya upandaji! (lengo ilikuwa kupanda mahindi na kuuza kama mahindi mabichi)
SABABU
1.Kuna hela (running cost) inahitajika haraka ili kulipia mpira wa water pump kwa ajili ya kumwagilia na pia hela ya mafuta ambayo kwa sasa sina, hela ya uhakika nayotarajia kwa ajili ya mradi ni mpaka mwezi wa 11 mwanzoni(nitakuwa nimechelewa, makubaliano kuhusu matumizi ya shamba ni mwezi wa kwanza mwanzoni, mbegu niliyopanga kupanda ni ya miezi miwili na nusu)
2.Mwezi wa 11 nina project nyingine ya kilimo natakiwa kuanza, so gharama za uendeshaji zinaweza kuwa kubwa sana. Ni project kubwa zaidi, inahitaji maandalizi ya mapema.
Nina vibarua 4, vifaa vya kulimia na water pump, pia vibarua wanakaa shamba.
Kwa atakayekuwa tayari itabidi anunue mpira immediately, ili kuwahi upandaji uwe ndani ya muda. Water pump kama hana nitamkodishia. Pia naweza kuendelea kusimamia shamba na kuendelea kutumia vibarua wangu kwa makubaliano maalum.
Kingine, itabidi anilipie gharama za uendeshaji nilizotumia.
Kwa aliye tayari ani pm
Asante.