Mdudu Mende
Member
- Mar 31, 2021
- 78
- 120
Hapo kwenye bachelor na kujua kizungu nimefeli.
Ila hamna noma, kuna mzee hapa mtaani ameahidi atanipa mikob.
Ataanza kwa kunipatia chuma ulete. tutakutana tu huko vilingeni na usomi wako.
Kwenye uchawi wa kizungu, masuala ngono ni uchafu, baadhi ya ibada hutaka mtu kujitoharisha kwa siku hadi 21Hapa anatafutwa mke au mke mchawi..?😂
Hatari sana haya Mambo..
Nimejifunza mwenyewe, lakini kwenye practical kunahitaji msaidiziSi ujifunze peke yako tu mkuu au