Natafuta mtu wa kunijengea chumba na sebule kwa 7M

Natafuta mtu wa kunijengea chumba na sebule kwa 7M

Mkuu hiyo hela inatosha Sana Tu, labda Tu hujaainisha finishing inakuwaje, lakni kama ni sakafu Tu na madirisha ya wavu na rangi ya kawaida, mbna ni nyingi hyo chapaa, kuanzia fundi, watwana, seiling board ya kawaida na vifaa, gharama za ujenzi dsm zko juu kuliko mikoani, nyumba ya mill 60 dsm mkoani unaiua Kwa mil40, na ubora ni ule ule
 
Hatari ila utakwamwa juu na milango itabidi uongeze 1ml tofauti na hapo uwe bahili aswa katika kufanya manunuzi na ulie lie sana upunguziwe bei ya matirio
Kwenye mbao za kupaulia unapiga reject , kuna mchaga mmoja hapa namkubali Sana huyu Mwamba,
 
Ili usije kugombana na watu ni bora uwe na mchanganuo wa hiyo mill 7 yako inafanya nini na nini kuringana na ramani yako...la sivyo unataka kuwauzia watu msala
 
Mkuu hiyo hela inatosha Sana Tu, labda Tu hujaainisha finishing inakuwaje, lakni kama ni sakafu Tu na madirisha ya wavu na rangi ya kawaida, mbna ni nyingi hyo chapaa, kuanzia fundi, watwana, seiling board ya kawaida na vifaa, gharama za ujenzi dsm zko juu kuliko mikoani, nyumba ya mill 60 dsm mkoani unaiua Kwa mil40, na ubora ni ule ule
Kwa nini Dar gharama za ujenzi zipo juu ilhali vifaa vya ujenzi zipo bei chini kuliko mikoani?
 
Iringa hapo unajenga na ya kupangisha,
Tofali trip moja laki mbili@800/1000tofali
 
Hapa gharama za mafundi ujenzi zipo juu sana ukiringanisha na mafundi wa mkoani
Kwa nini Dar gharama za ujenzi zipo juu ilhali vifaa vya ujenzi zipo bei chini kuliko mikoani?
 
Habarini .....

Natafuta wale watu wa makampuni ya ujenzi wanijengee nyumba yenye sifa zifuatavyo kwa budget ya Tsh 7M.

Chumba na choo chake (Master)

Sebule (Living room)

Public toilet

Kitchen( jiko)

Eneo ni Bagamoyo kata ya Zinga jirani sana na barabara ya bagamoyo.

Atalipwa nusu baada ya kumaliza kazi atamaliziwa nusu.

Karibuni sana.

NB: nataka kuoa sasa maisha ya kulipa kodi wallah sitoyaweza kabisa.
iyo pesa wala si nyingi, nyumba yangu binafsi, msingi pekeyake, umekamilika kwa zaidi ya 4mil, wewe unataka nyumba nzima, na haina jiko, ni vyumba vi3 vyinye vyoo na sebure,basi!
 
Amesema chumba kimoja sasa wewe unamtisha na nyumba yako ya 3 bed rooms
iyo pesa wala si nyingi, nyumba yangu binafsi, msingi pekeyake, umekamilika kwa zaidi ya 4mil, wewe unataka nyumba nzima, na haina jiko, ni vyumba vi3 vyinye vyoo na sebure,basi!
 
Mafundi ukiwaambia hata m5 watakuambia inawezekana. Unaanza ujenzi unafika kwenye renta, pesa inakata mnabaki kuangaliana.
 
Habarini .....

Natafuta wale watu wa makampuni ya ujenzi wanijengee nyumba yenye sifa zifuatavyo kwa budget ya Tsh 7M.

Chumba na choo chake (Master)

Sebule (Living room)

Public toilet

Kitchen( jiko)

Eneo ni Bagamoyo kata ya Zinga jirani sana na barabara ya bagamoyo.

Atalipwa nusu baada ya kumaliza kazi atamaliziwa nusu.

Karibuni sana.

NB: nataka kuoa sasa maisha ya kulipa kodi wallah sitoyaweza kabisa.
usikute unamaanisha na roofing kabisa mkuu!
 
Habarini .....

Natafuta wale watu wa makampuni ya ujenzi wanijengee nyumba yenye sifa zifuatavyo kwa budget ya Tsh 7M.

Chumba na choo chake (Master)

Sebule (Living room)

Public toilet

Kitchen( jiko)

Eneo ni Bagamoyo kata ya Zinga jirani sana na barabara ya bagamoyo.

Atalipwa nusu baada ya kumaliza kazi atamaliziwa nusu.

Karibuni sana.

NB: nataka kuoa sasa maisha ya kulipa kodi wallah sitoyaweza kabisa.
Ungewatafuta jamaa wa Tanesco kule walikojenga kibanda cha mlinzi kwa mil 7,lazima utafanikiwa
 
iyo pesa wala si nyingi, nyumba yangu binafsi, msingi pekeyake, umekamilika kwa zaidi ya 4mil, wewe unataka nyumba nzima, na haina jiko, ni vyumba vi3 vyinye vyoo na sebure,basi!
Mkuu chumba kimoja na sebule unataka atumie Shillingi ngapi ?

Acheni kutisha watu bwana!!!

Mwenzako kasema chumba na sebule wewe unakuja kumtisha kwa kulinganisha na hekalu lako la vyumba vitatu ???
 
Back
Top Bottom