mzawa _original
Member
- Feb 7, 2022
- 23
- 26
Wapedwa wadau napenda niwataarifu kuwa natafuta mtu mwenye mtaji wake wa kutosha company ya catering services ambayo inapatikana hapa DSM, imasajiriwa tangu mwaka 2017 mpka sasa ipo sokoni na inafanya kazi
Ina vifaa vyote vinavyohitajika katika kazi hii pamoja na ofisi pamoja na wafanya kazi. Huyu mtu anayetafutwa atakuwa mkurugezi wa company baada ya kununua hisa zote na Mali za company pia baadhi ya wafanya kazi waliopo anaweza kuendelea nao au akaleta watu wak
Hiyvo mtu ambaye yupo tayari tuwasiliane kupia 0766090956
Ahsanteni sana
Ina vifaa vyote vinavyohitajika katika kazi hii pamoja na ofisi pamoja na wafanya kazi. Huyu mtu anayetafutwa atakuwa mkurugezi wa company baada ya kununua hisa zote na Mali za company pia baadhi ya wafanya kazi waliopo anaweza kuendelea nao au akaleta watu wak
Hiyvo mtu ambaye yupo tayari tuwasiliane kupia 0766090956
Ahsanteni sana