Natafuta mtu wa kupigana naye.

Natafuta mtu wa kupigana naye.

Embu tuma pcha yko kwanza tukuone isije ikawa unawataftia watu murder case
 
Hiyo tayari ni Ajira Bro! Sahau mambo ya vyeti feki Bro...Naona umeme umepungua tayari.
 
Tangu nianze kunyanyua vyuma sijawahi kuchokozwa so nimeamua kuutafuta ugomvi.Mara ya mwisho kupigana nilipigana na kuku mwenye vifaranga enzi za utoto mpaka leo sijapigana tena.Nime-miss ugomvi[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Naanza kuona umuhimu wa uhakiki wa vyeti.
 
tunga nyimbo ya kudiss serikali then utapata watu tena watakuja wenyewe hadi uwanja wako wa nyumbani.

mwenzio Roma alisema ita difenda kilichotokea now kawa kama jogooo anaye umwa kideli
Ha ha ha eti ilikuja noah nyeusi
 
Back
Top Bottom