wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Namkaribisha sana kwanza chai yetu niya maziwanenda pale lugalo jehini, kaombe mechi ya kirafiki kwa nguvu..[emoji16][emoji16]!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namkaribisha sana kwanza chai yetu niya maziwanenda pale lugalo jehini, kaombe mechi ya kirafiki kwa nguvu..[emoji16][emoji16]!!!
Haha[emoji41][emoji41][emoji41] hapo pazuriiiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] au amdisi Bashite publicly
Wembe? Utatahiriwa bila ganzi weye!Mimi siyo Roma shauri yako.Kawaambie hata waje na Treni au Sabumarini mi siogopi labda waje na wembe.
Hahahahaaa! Wimbo fulani... "lete mbwembwe nikuchanechane na viwembe"...!Mabaunsa wengi tunaogopa wembe na nyuki bhaaaaas. 😎 😎
Naanza kuona umuhimu wa uhakiki wa vyeti.Tangu nianze kunyanyua vyuma sijawahi kuchokozwa so nimeamua kuutafuta ugomvi.Mara ya mwisho kupigana nilipigana na kuku mwenye vifaranga enzi za utoto mpaka leo sijapigana tena.Nime-miss ugomvi[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Ha ha ha eti ilikuja noah nyeusitunga nyimbo ya kudiss serikali then utapata watu tena watakuja wenyewe hadi uwanja wako wa nyumbani.
mwenzio Roma alisema ita difenda kilichotokea now kawa kama jogooo anaye umwa kideli