Kuntankite
Member
- Sep 17, 2021
- 10
- 6
Wewe jamaa ungekuwa Dar tungeanza mwaka huu February hiiHello waungwana,
Nipo MTO wa Mbu, mkoani Arusha. Nina mtaji wa vifaa vya Lab ila gharama ya kulipa pango na pia kurekebisha chumba pesa imeniishia. Sasa basi kama na wewe una ndoto hiyo naomba tushirikiane.
Site ni nzuri Sana iko palipochangamka pia sehemu yenye population kila wiki mnada rahisi mno kujulikana mara moja.
Hatua za kufungua zishafanyika ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mratibu wa Maabara wilaya anajua pia ashakagua eneo.
Stage iliyopo kuingia kwenye mfumo kufanya application tu.
Pesa imeniishia, kama uko interested nicheki 0765 626 871 /0629 874 622
Ungeweka figure ya pesainayohitajika na terms ungepata mtu fastaHello waungwana,
Nipo MTO wa Mbu, mkoani Arusha. Nina mtaji wa vifaa vya Lab ila gharama ya kulipa pango na pia kurekebisha chumba pesa imeniishia. Sasa basi kama na wewe una ndoto hiyo naomba tushirikiane.
Site ni nzuri Sana iko palipochangamka pia sehemu yenye population kila wiki mnada rahisi mno kujulikana mara moja.
Hatua za kufungua zishafanyika ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mratibu wa Maabara wilaya anajua pia ashakagua eneo.
Stage iliyopo kuingia kwenye mfumo kufanya application tu.
Pesa imeniishia, kama uko interested nicheki 0765 626 871 /0629 874 622
Gharama zinazohitajika ni kiasi gani mpaka hapo ulipofikia?Hello waungwana,
Nipo MTO wa Mbu, mkoani Arusha. Nina mtaji wa vifaa vya Lab ila gharama ya kulipa pango na pia kurekebisha chumba pesa imeniishia. Sasa basi kama na wewe una ndoto hiyo naomba tushirikiane.
Site ni nzuri Sana iko palipochangamka pia sehemu yenye population kila wiki mnada rahisi mno kujulikana mara moja.
Hatua za kufungua zishafanyika ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mratibu wa Maabara wilaya anajua pia ashakagua eneo.
Stage iliyopo kuingia kwenye mfumo kufanya application tu.
Pesa imeniishia, kama uko interested nicheki 0765 626 871 /0629 874 622
Laki 5Gharama zinazohitajika ni kiasi gani mpaka hapo ulipofikia?
SawaLaki 5
Umepata
Bado sijapata