Natafuta mtu wa kusogeza naye siku

Natafuta mtu wa kusogeza naye siku

Like you was serious but unavojibu maswali ni kama unawa-enjoy watu
 
Strategy kali goodluck mrejesho siyo lazima wachawi wengi humu
 
Ladies and gentlemen, we have a new bitch in town!
 
Ok naona maswali PM yanakua mengi kuhusu kusogeza siku namaanisha nini yani inshort utakuwa huru kuwa na mtu wako nami nitakuwa huru kuwa na wangu nikimpata nimpendae so hii relation itakuwa just friend cause nikipata nitayemridhia itavunjika
.So nahitaji tu mtu wa kunicare na pia kuhusu swala la sex jua kabisa hatutasex mpaka tutaporudia vipimo vya mara ya pili ili kulinda usalama wangu.
Aiseeh
 
Like you was serious but unavojibu maswali ni kama unawa-enjoy watu
Listen my friend mara zote katika maisha mtu akikuuliza swali la kipuuzi mjibu kipuuzi.Na akikuuliza kwa hekima answer it clear Unajua binadamu si ni watu wa ajabu mno ukitaka kufata kila watakalo mwisho utachanganyikiwa.Because sikuona sababu ya maswali yote kwa sababu kwa mtu mwenye uelewe niliweka kila kitu clear.Na tatizo watu wengi mshaweka dhana kuwa relation za mtandaoni si nzuri japo nami ni mmoja wapo huwa siamini sana kudumu na mtu wa mtandaoni japo anything can happen na ndo mana nimeweka mtu wa kusogeza siku cause si rahisi kusema nahitaji mtu wa kudumu naye while sikufahamu kiundani .
 
Wanajaa coaster ila bado siti moja I think nawe uongezeke ili siti zisipelee.
Asantee nimefurahi kwa mwaliko, Mimi sofa zote ulizotaja niko nazo kasoro hiyo ya ajira tu ndo sina, wanasema kila mwanaume aliefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake, naamini bila shaka ndo wewe umefika tusukume gurudumu la maendeleo!
 
Listen my friend mara zote katika maisha mtu akikuuliza swali la kipuuzi mjibu kipuuzi.Na akikuuliza kwa hekima answer it clear Unajua binadamu si ni watu wa ajabu mno ukitaka kufata kila watakalo mwisho utachanganyikiwa.Because sikuona sababu ya maswali yote kwa sababu kwa mtu mwenye uelewe niliweka kila kitu clear.Na tatizo watu wengi mshaweka dhana kuwa relation za mtandaoni si nzuri japo nami ni mmoja wapo huwa siamini sana kudumu na mtu wa mtandaoni japo anything can happen na ndo mana nimeweka mtu wa kusogeza siku cause si rahisi kusema nahitaji mtu wa kudumu naye while sikufahamu kiundani .
Nimekuelewa usijali mummy
 
Asantee nimefurahi kwa mwaliko, Mimi sofa zote ulizotaja niko nazo kasoro hiyo ya ajira tu ndo sina, wanasema kila mwanaume aliefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake, naamini bila shaka ndo wewe umefika tusukume gurudumu la maendeleo!
mlale mhola.
 
Ahsanteni kwa maswali yenu na michango yenu .
Nishampata niliemuona anafaa.
Nitawaletea mrejesho mwingine mbele ya safari.
Kalio lipo sio nyuma flat kama dereva muendesha Mtambo wa kushindilia barabara.
 
Mkuu beingsingle,

Heri ya Sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika.

Mwenzako anayo hidden agenda. Kuna kitu hakiko sawa anaficha.

Mfano kuna swali kaulizwa zaidi ya mara kumi ikawa ngumu kujibu, Je ana kazi? Kazi haitakuwa kigezo kikubwa lakini kwanini hajajibu.

Mtandao huu tulioko ni majina ya kalamu, yaani hata wewe sikujui na mimi hunijui, pengine we are cousins or something. Basi angeenda mtandao ambao kila swala liko wazi mfano picha, majina kamili na marafiki zake. Anaogopa sababu the real her ataonekana.

Na huyo huyo real her anaemficha ndio kamnyima soko in real world huko. Kuna haja gani ya kwenda kilometre saba kununua sukari ya quality iile ile na bei ile ile kama iliyoko dukani kwa Mangi just next door?

Siongei haya kwa nia ya kumpondea, Hapana. Nasema haya ili yamsaidie kujua nini haswa shida yake, and trust me asipoijua na kuikabili hata hao ataowatoa huku badala ya kusogeza siku watamsogezea kilio, au yeye awasogezee presha.

Once again Heri ya sikukuu ya Uhuru
Asante mkuu, heri nawe ya Uhuru wa Tanganyika...

Asante kwa kunielewesha mkuu, barikiwa sana
 
Hivi kumbe kuwa na Degree haiondoi ujinga ee? Mpuuzi kabisa dini zote zinakataza zinaa,Mila na desturi za mtanza hazikubali mwanamke kujitongozesha halafu ww unakuja kutuzuga na ujinga ulioujaza akilini mwako.
 
Hivi kumbe kuwa na Degree haiondoi ujinga ee? Mpuuzi kabisa dini zote zinakataza zinaa,Mila na desturi za mtanza hazikubali mwanamke kujitongozesha halafu ww unakuja kutuzuga na ujinga ulioujaza akilini mwako.
It's really zinakataa je we unafata uyasemayo na may be unaweza sema umeoa je kabla hujaoa hujawahi fanya zinaa.Na kuhusu kusema mwanamke kujitongozesha embu ni andiko lipi kwenye biblia au quran linasema ni dhambi au ni tamaduni tu tulizojiwekea Tanzania cause ukienda nchi kama India mwanamke ndo anayetoa mahali kwa mwanamme ampendaye so acha kukariri maisha cause hayana formular.So acha kujikuta mkamilifu wakati nyuma ya keyboard una mapungufu mengi.
 
Back
Top Bottom