Natafuta muchumba

Natafuta muchumba

Mmh!
Hautaki kungonoka!
Ft 4.6 wewe unamuita mrefu!
Haya bhana kila la heri!
 
Mimi daud kipara natafuta muchumba wa kuoa lakni awe na elimu kuanzia form four. lakini asiwe na haraka ya kufanyanga ngono na mimi

NB:awe na urefu kuanzia fut 4.6 na kuendelea mawasiliano andiandikie

daudkipara@yahoo.com au atume picha na ujumbe yake kwenye akaunti yangu ya facebook jina ni daud kipara

Inaonesha wewe ni Mtanzania mwenye asili ya kizungu....utamfaa sana Heaven on earth....
 
Last edited by a moderator:
ya fb yamekushinda hadi umekuja hapa? ingekuwa vzuri zaidi kama ungebandika picha.
 
Age,
Unawatoto,
Uliwai kuoa,
Makazi,
Kabila,
Rangi ya mwili, mweusi mweupe or maji ya kunde
 
Mimi daud kipara natafuta muchumba wa kuoa lakni awe na elimu kuanzia form four. lakini asiwe na haraka ya kufanyanga ngono na mimi

NB:awe na urefu kuanzia fut 4.6 na kuendelea mawasiliano andiandikie

daudkipara@yahoo.com au atume picha na ujumbe yake kwenye akaunti yangu ya facebook jina ni daud kipara

naona kama umesahau kuweka details zako kama umri? Elimu? Etc
 
Wabongo washabiki sasa mbona umemdisplay vibaya mkaka wa watu.
Ungechagua picha nzuriiiiii ndo ukai post. Si unajua Swagaaaaaaazzzz hope u get ma driftt

Samahani Mkuu Me370, Nimeyafanya haya yote kumsaidia kaka Kipara Maana si wote wapo FaceBook nowdays na wengine walishafunga hizo akaunti za huko, naimani huyo "Muchumba" atakuwa kashapatikana au wengi watakuwa washamtafuta sana kaka Kipara, maana hata yeye mwenyewe anajikubali Shababi na ndio maana akaachia ID yake ya FB Hewani, Ikiwa atasema amekerwa kwa kitendo hicho basi ntaitoa hiyo Post, otherwise Kila la Kheri kwa Daud kipara.
 
hee mtu umezaliwa 1992 ndo uko desperate hvo mpk kwny mitandao? Too young. Ulipaswa saivi unajifunza kutngoza watoto wa mtaa wa pili hapo jirani.
 
Back
Top Bottom