Huenda hana kizazi bro.Yuko wazi mtoa postKwamba awe ana nguvu za kiume lakini mbegu zisiweze kuzalisha..mbona wewe hujasema kama una mtoto.
Kipendele cha kwanza na cha mwisho nilishaenguliwa π€£π€£π€£π€£π€£mzabzab fursa hii mzee
Mkuu kwamba unao?π€£Kipendele cha kwanza na cha mwisho nilishaenguliwa π€£π€£π€£π€£π€£
Mwaka wa 23 huu nadundaMkuu kwamba unao?π€£
Aiseeee hivyo vigezo ni vigumu ila fresh Mungu anajibu na ww atakujibu.Niko single kwa miaka 36 sijapata mtu mwenye vigezo vifuatavyo
_Alieoka
_Umri kuazia37_40
_Mweye mtoto 1au2
_Asiyetaka kuwa na mtoto Tena
_Au Ambaye ana nguvu za kiume lakini mbegu zinashindwa kuzalisha
_Mweye Nia ya dhati ya kuoa
_HIVnegative
Asante na karibu sana Mume kutoka Bwana
Disqualified [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji118][emoji118][emoji118][emoji118][emoji118][emoji118][emoji118]!!Sawa
Hahahahaa...Kuhusu mbegu dhaifu hiyo sizani kama ni tatizo la kudumu.
Mwingine ukimpiga lishe nzuri michemsho ya sangala na sato na mazagazanga ya lishe mbegu zinaimarika.
Kwa hiyo hapo tafakari vizuri kabla ya kuamua.
Amen, mtushi wa Bwana. Game waangalizia wapiNational Anthem bwana Yesu asifiwe. Habari za kanisani leo?