Natafuta Mume alieokoka

Natafuta Mume alieokoka

daso

Member
Joined
Jun 26, 2017
Posts
15
Reaction score
28
Niko single kwa miaka 36, sijapata mtu mwenye vigezo vifuatavyo;
Mume
- Alieokoka

- Umri kuazia 37-40

- Mweye mtoto 1 au 2, asiyetaka kuwa na mtoto tena au Ambaye ana nguvu za kiume lakini mbegu zinashindwa kuzalisha.

- Mweye Nia ya dhati ya kuoa

- HIV negative

Asante na karibu sana mume kutoka kwa Bwana.
 
Niko single kwa miaka 36 sijapata mtu mwenye vigezo vifuatavyo

_Alieoka

_Umri kuazia37_40

_Mweye mtoto 1au2

_Asiyetaka kuwa na mtoto Tena

_Au Ambaye ana nguvu za kiume lakini mbegu zinashindwa kuzalisha

_Mweye Nia ya dhati ya kuoa

_HIVnegative
Asante na karibu sana Mume kutoka Bwana
Aiseeee hivyo vigezo ni vigumu ila fresh Mungu anajibu na ww atakujibu.
 
Age imenikata tu hapo daaa 🤠😆😃😃
 
Kama umeokoka na kweli unatafuta mume seriously, nenda kwenye makanisa tofauti-tofauti ya kilokole. Uombewe kwanza halafu ndipo utafute mume
 
Wokovu wa mtu unapaswa kuutambua by observation lakini Kwa kutoa nafasi mtu kujileta mwenyewe ni rahisi kuramba garasha!

Atajifanya ameokoka mwanzoni badae anarudia hali yake kama ni ya ulevi , Umalaya m.k.
 
Kuhusu mbegu dhaifu hiyo sizani kama ni tatizo la kudumu.

Mwingine ukimpiga lishe nzuri michemsho ya sangala na sato na mazagazanga ya lishe mbegu zinaimarika.

Kwa hiyo hapo tafakari vizuri kabla ya kuamua.
 
Kuhusu mbegu dhaifu hiyo sizani kama ni tatizo la kudumu.

Mwingine ukimpiga lishe nzuri michemsho ya sangala na sato na mazagazanga ya lishe mbegu zinaimarika.

Kwa hiyo hapo tafakari vizuri kabla ya kuamua.
Hahahahaa...
Atadhani jamaa hawezi kutungisha, mara anaanza kuhisi hamu ya kula udongo na maembe machanga 😁
 
Back
Top Bottom