Natafuta mume anayeishi na VVU

Natafuta mume anayeishi na VVU

Mkuu "Don't judge the book out of its cover" kama wewe huwezi mimi naweza I have my secrete behind that.....hamna mwana mke faithful na obedient kama huyu mwenye hali hiyo kashajitambua huyu hawezi kufanya ujinga tena tutaishi more than 30yrs to come.....wote niwatalajiwa tu kwahiyo nothing to fear.....am serious

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka rafiki yangu alipima siku mbili kabla ya ndoa. Ikagundulika bibi harusi mtarajiwa alikuwa Positive wakati rafiki yangu ni negative. Mimi nilikuwa ni Best Man, jamaa hakunieleza kabisa. Wakafunga ndoa. Baada ya miezi 6 bibi harusi alipata mkanda wa jeshi tumboni na mimba ikatoka. Kuuliza kulikoni, nikapata hiyo story na kuwa walielezwa kuwa wawe wanatumia condom, ila rafiki yangu uzalendo ulimshinda akapiga kavu kavu ndo bibie kupata mimba. Mungu mkubwa walipopima tena akawa ni negative, nikamkataza asiende peku, wakaanza condom.

Bibie alikuwa ameokoka na Pastor wao akawaeleza kuwa mtu kama umeokoka hutakiwi kutumia condom. Bibie akagangamala kuwa hawezi kukiuka neno la mungu na kuchukua condom zote akazitupa shimoni. Rafiki yangu akakataa kuwa hawezi kujiweka katika mdomo wa mamba, hali ikawa mbaya kiasi ikabidi watengane.

Ninavyoandika ni kuwa bibie alishazikwa miaka kadhaa na jamaa yangu alioa mwanamke mwingine na wana watoto wakubwa.

Ujumbe: acha kujidanganya kuwa kwa vile mwanamke au mwanaume ana tatizo basi mkioana maisha yatakuwa kama unavyotegemea
 
Nakumbuka rafiki yangu alipima siku mbili kabla ya ndoa. Ikagundulika bibi harusi mtarajiwa alikuwa Positive wakati rafiki yangu ni negative. Mimi nilikuwa ni Best Man, jamaa hakunieleza kabisa. Wakafunga ndoa. Baada ya miezi 6 bibi harusi alipata mkanda wa jeshi tumboni na mimba ikatoka. Kuuliza kulikoni, nikapata hiyo story na kuwa walielezwa kuwa wawe wanatumia condom, ila rafiki yangu uzalendo ulimshinda akapiga kavu kavu ndo bibie kupata mimba. Mungu mkubwa walipopima tena akawa ni negative, nikamkataza asiende peku, wakaanza condom.

Bibie alikuwa ameokoka na Pastor wao akawaeleza kuwa mtu kama umeokoka hutakiwi kutumia condom. Bibie akagangamala kuwa hawezi kukiuka neno la mungu na kuchukua condom zote akazitupa shimoni. Rafiki yangu akakataa kuwa hawezi kujiweka katika mdomo wa mamba, hali ikawa mbaya kiasi ikabidi watengane.

Ninavyoandika ni kuwa bibie alishazikwa miaka kadhaa na jamaa yangu alioa mwanamke mwingine na wana watoto wakubwa.

Ujumbe: acha kujidanganya kuwa kwa vile mwanamke au mwanaume ana tatizo basi mkioana maisha yatakuwa kama unavyotegemea
Mkuu 'Life is full of try and error by never fail to try'......uenda ntapatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom