Ndio nilikua namalizia kutyp pm ila nikaona nipitie comment kwanza.Ntawakimbizaaa[emoji848] wanajaribuje kufa, mtu akiwa negative nsimuone pm kwangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na aina ya usaliti na sababu ya usaliti, lakini binafsi sijawahi ona sababu ya maumivu ya usaliti zaidi ya ubinafsi tu.Mapema[emoji4] mpende mke wako...kusalitiwa kunauma kweeeli...
Haya njoo pm useme ya moyoni[emoji4] naweza saidia mahali[emoji4][emoji4]Inategemea na aina ya usaliti na sababu ya usaliti, lakini binafsi sijawahi ona sababu ya maumivu ya usaliti zaidi ya ubinafsi tu.
Asante lakini, natamani ningeongea mengi kwenye hili ila sio sehemu sahihi, I wish ni ku pm!
Okay, asante.Haya njoo pm useme ya moyoni[emoji4] naweza saidia mahali[emoji4][emoji4]
Sawa, kuna jamaa yangu ana sifa unazotaka sasa sijui mpaka ajiunge jf akucheki pm au ninaweza kuwakutanisha?Bado sijapata kaka
Nipo hapa. Sina pesa sina nguvu za kiume sina mwonekano.Mimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili.
Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa.
Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV Positive kama mimi ili tutengeneze familia, upweke unachosha.
Karibu PM.
YahUnapumua?
Toa feedback nini kimejili!Sijui niwape feedback [emoji85]