Natafuta mume, awe HIV+

@Intelligent businessman my dear, bado Yesu ananipigania[emoji4][emoji4] nikikumbukwa na mkaka mzuri kama wewe Basi maisha ndo yanazid kuwa super [emoji1][emoji1] nawe waendeleaje rafiki angu?
Safi, ni vizuri kusimamia katika imani rafiki.
Mie Niko poa mpendwa, hope mna endelea Poa na familia!!.

Hahaha mi nta kukumbuka, Mpaka uchoke🤓
 
Ukishaanza kutumia dawa vizr huwezi ambukiza rafiki, lakini hongera sana. Mm nina ndg yangu yupo hivyo na full burudani na kuishi mtu wa hivyo sio kupata maambukizi, sasa imagine ni wangapi tunaishi nao na hatujui hali zao? Na hakuna aliyeambukizwa? So, ukimwi hauambukizi kwa macho au kushare vitu isipokuwa kwa ngono tuu au kutumia vitu vya ncha kali kama sindano na wakati mwingine ajali ambayo itamsababisha mtu jeraha na kugudana na damu ya mtu mwenye VVU
 
Picha yako tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…