We black listed wewe[emoji3]unajua raha ya kupendwa kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lakini nasikia kuwa HIV inatofautiana kati ya mtu na mtu; unaweza kujikuta katika hali mbaya zaidi ukiongezewa maambukizi. Nakushauri ubaki kama ulivyo; upweke siyo mzigo.
Muda woote natamani, niwe nawe kila SAA, nikueleze, jinsi gani, kwenye kiza we ni taa.Hata mapenzi yakiisha boo si tubaki sawa tuu
🤣🤣🤣Kiboko yanguu[emoji23][emoji23][emoji23]baaas
😘[emoji3][emoji3]
Mjinga kweli wew [emoji16][emoji16][emoji16]Kila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.
Siku nitakayopata ujasiri wa kupima labda ndio siku nitakapokuwa nimeshakupoteza....
Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki huku nikibebwa na greda la Manispaa ya Kinondoni.....
mzabzabMimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili.
Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa.
Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV Positive kama mimi ili tutengeneze familia, upweke unachosha.
Karibu PM.
asante kwa kunipigia pande
Hivi we Babu kwanini hukui lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.
Siku nitakayopata ujasiri wa kupima labda ndio siku nitakapokuwa nimeshakupoteza....
Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki huku nikibebwa na greda la Manispaa ya Kinondoni.....
Mefanyaje kwani kipenzi? Afu kwanini umeniblock PM?Hivi we Babu kwanini hukui lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]