NACKO
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 1,298
- 2,514
wengi wameonekana kuwa wanyanyasaji kwa wenzi wao....Ukipata - ve na akatambua hali yako mtakaa vyema zaid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengi wameonekana kuwa wanyanyasaji kwa wenzi wao....Ukipata - ve na akatambua hali yako mtakaa vyema zaid
Binadamu ni miyeyusho Sana😂😀Kikubwa uhai tu
Asante owa kuni wakilisha mwenyekiti 🤒😆Kila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.
Siku nitakayopata ujasiri wa kupima labda ndio siku nitakapokuwa nimeshakupoteza....
Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki huku nikibebwa na greda la Manispaa ya Kinondoni.....
Madam mpaka leo huja pata??, Maana andiko la zamani!!.Amina
Sema nini ngoja mwakani nika pime😀,[emoji23][emoji23][emoji23]utapima tuu, mda utasema.
Kabisaaaa, I don't give a damn shitSema nini ngoja mwakani nika pime[emoji3],
[emoji117]Ila mindset yako ime kaa powa, you don't give shit about your weakness
Nakupenda BabyMamy . [emoji7]Asante kichwa kichaaafu[emoji38] lakin Hilo jina..... anyway.[emoji7]
Mkuu hata ustaarabu ni Jambo zuri, hii ulio onesha ni too low from a really man.Usikute huna chura
Keep living and believing friendKabisaaaa, I don't give a damn shit
.[emoji847] Huku bwana Yesu ananisimamia[emoji4][emoji4][emoji4]oiiiiiiiii[emoji7]
Duh asante kwa kupoint out.naomba radhi kwa wote.wakati mwingine huwa tunaskia raha kuchangamsha genge lakini skusoma kwa userious ni kitu sensitive.Mkuu hata ustaarabu ni Jambo zuri, hii ulio onesha ni too low from a really man.
Safi kabisa, Natumai amani ime rejeaDuh asante kwa kupoint out.naomba radhi kwa wote.wakati mwingine huwa tunaskia raha kuchangamsha genge lakini skusoma kwa userious ni kitu sensitive.