Natafuta mume, awe HIV+

Natafuta mume, awe HIV+

Kitu kimoja ambacho nimejifunza ni kuwa Kuna watu ni kama Wana nyongo, Sasa wanatafuta pa kuitema!

Wakipata pa kuitemea wanatema pasipo kujali kuwa kwa maneno yetu tunaweza kuwaumiza wengine!

Ulichosema wewe ni sahihi! Mimi nimeomba tu tumsamehe bure
 
Kitu kimoja ambacho nimejifunza ni kuwa Kuna watu ni kama Wana nyongo, Sasa wanatafuta pa kuitema!

Wakipata pa kuitemea wanatema pasipo kujali kuwa kwa maneno yetu tunaweza kuwaumiza wengine!

Ulichosema wewe ni sahihi! Mimi nimeomba tu tumsamehe bure
Nmejiskia vibaya ila nimemsamehe
 
Ndio ukweli....mwaka 2026 nitaanza kumtafuta who i can bequeath jina la mzabzab hapa jf
dah! Haha mkuu sasa ukifa misambwanda yote hii inazagaa mitaani unamwachia nani mzee, tulizana kwanza asee, au nikuletee litoto la zenji likuliwaze.
 
Ndugu mheshimiwa Sana wa chama Cha majobless promax Intelligent businessman ,napenda kusema habari za asubuhi na kheri ya kuamka salama .
Ila Mimi nauliza nikimuoa rafiki yako BabyMamy ? Nitakuwa nakosea
Embu mwambie akimbie PM kwangu chap aandike namba ya simu Kama kichwa Cha habari ,tule wali keshokutwa
Naam Mimi wala sina kinyongo, as long as you're willing to be a good husband.
then you got my blessings bro.

Beside niko pamoja na BabyMamy, nafurahi mnavyo mpa moyo.
 
Back
Top Bottom