Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Kuna majamaa humu n mafisi ila hii post naona kila mtu anakutakia kila la kheri kwenye hitaji lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh jamaani !!!Amefanya utani mkuu!
Msimtemse kipenzi changu 😂
Hii comment haikupaswa kuwa kwenye huu UziUKIMWI ni ugonjwa unao tisha sana duniani.
Mungu atuepushe na gonjwa hili hatari zaidi.
Tumsamehe bure mkuu! Jua ni Kali sana DarHii comment haikupaswa kuwa kwenye huu Uzi
AiseeTumsamehe bure mkuu! Jua ni Kali sana Dar
Ndio ukweli....mwaka 2026 nitaanza kumtafuta who i can bequeath jina la mzabzab hapa jfMkuu hivi ni kweli, make unapenda kusema hivi mara kwa mara mwanetu kunani 🙁
Kitu kimoja ambacho nimejifunza ni kuwa Kuna watu ni kama Wana nyongo, Sasa wanatafuta pa kuitema!Aisee
Nmejiskia vibaya ila nimemsameheKitu kimoja ambacho nimejifunza ni kuwa Kuna watu ni kama Wana nyongo, Sasa wanatafuta pa kuitema!
Wakipata pa kuitemea wanatema pasipo kujali kuwa kwa maneno yetu tunaweza kuwaumiza wengine!
Ulichosema wewe ni sahihi! Mimi nimeomba tu tumsamehe bure
dah! Haha mkuu sasa ukifa misambwanda yote hii inazagaa mitaani unamwachia nani mzee, tulizana kwanza asee, au nikuletee litoto la zenji likuliwaze.Ndio ukweli....mwaka 2026 nitaanza kumtafuta who i can bequeath jina la mzabzab hapa jf
Litoto liwe na trakoooooodah! Haha mkuu sasa ukifa misambwanda yote hii inazagaa mitaani unamwachia nani mzee, tulizana kwanza asee, au nikuletee litoto la zenji likuliwaze.
Yes tumsamehe ili mada isiwe kubwa na tuzidi kumfariji ndugu yetu.Nmejiskia vibaya ila nimemsamehe
sio trakoo tu yani ni ana mtulinga 😀Litoto liwe na trakoooooo
😆😆😆 Muache huyo mtu tumetoka mbali😍Sawa nakusubiria unipe mrejesho kipenzi
Basi Intelligent businessman Rais wangu wa Majobless Promax ataona wivu
😂😂😂
Naam Mimi wala sina kinyongo, as long as you're willing to be a good husband.Ndugu mheshimiwa Sana wa chama Cha majobless promax Intelligent businessman ,napenda kusema habari za asubuhi na kheri ya kuamka salama .
Ila Mimi nauliza nikimuoa rafiki yako BabyMamy ? Nitakuwa nakosea
Embu mwambie akimbie PM kwangu chap aandike namba ya simu Kama kichwa Cha habari ,tule wali keshokutwa
Niko naangalia movie hapa, ila ume bidi nicheke.Njoo nikuambukize mwaya😍😆😆😆😆😆 ngoma sio kitu ya kukukosesha Bebe mzuri
Mimi kipenzi changu ntakutetea mpk ndotoniii sitanyamaza kwa ajili yakooo mahabubaaaaa wangu 🥰O
Oyyyyyy😆baby who defends me in my absence,Mungu anipe nin tena😍 Thank you
Dah tafadhali sina bima ya mbavu ujue🤣😂Kuna majamaa humu n mafisi ila hii post naona kila mtu anakutakia kila la kheri kwenye hitaji lako