Natafuta mume jaman

Natafuta mume jaman

so what's behind the name MAMA SAMWEL!??
eniwei, Muombe Mungu atakupa tu mume mwema my dia...
 
Last edited by a moderator:
Hatari sana yaani first appearance jf tayari unatafuta bwana, halafu mpaka unafikia kusoma masters hunamtu ambae anaweza kuwa mmeo mpaka leo significantly we utakua unashida kiasi kwamba umekua unakimbiwa na wanaume wote waliotangulia, umejitadescribe kuwa unatabia nzuri bt m worried wats wrong wit yu pamoja na uzuri huo bado tu haujapendeka mpaka kaolewa, may bado haujafunguka zaidi kuhusu weakness zako ungetujuza ingekua poa pia
 
Nina sifa ulizotaja hapo juu, na zaidi, nina mtoto. Nimevutiwa na sifa zako, japokuwa hujamwelezea baba samweli
 
Kumbe wanaume siku izi ni dili ivi ? duh! Utapata jipe moyo yupo njiani anakuja
 
Habari jaman,
mimi ni mwanamke mkubwa kiasi na nitafuta rafiki ambae baadae atakuwa mume ili tuweze kuishi pamoja katika dunia hii ambayo kwakweli inahitaji sana kusaidiana.wasifu wangu ni kama ifuatavyo:
1.mimi nampenda Mungu
2.nina heshima na mwenye upendo kwa watu.
3.napenda sana watoto
4.sijawah kuolewa na wala sina mtoto
5.elimu yangu ni masters(ndo naimalizia hivi sasa)
6.nina makalio lakini si makubwa sana.
5.ni mweusi(black beuty-yaan sijawahi tumia mkorogo)
6.pia ni mchapa kazi sana na mwenye kujituma
7.ni mnene kiasi



Mume nimtakae tafadhali sana naomba awe na sifa zifuatazo;
1.awe anampenda Mungu na pia kumtumikia Mungu
2.mwenye upendo wa kweli na mkweli
3.umri kuanzia miaka 35-40
4.elimu yake awe at least na first degree
5.awe anafanya kazi
6.awe tayari kupima HIV

Kwakweli nakaribisha maombi kutoka kwa watu wote please msinikejeli bali mnipatie ushauri maana ninyi ni wenyeji humu jamvini.asanteni sana.

kwa sifa zako zote,hii ndio imenivuta zaidi......atleast,ni PM kwa mawasiliano,hapa mume umepata tayari

Mods pliz fungeni thread hii,sitaki competition zaidi
 
Mimi nina sifa zote except umri ndio kidoogo umekuwa zaidi yangu, vipi naruhusiwa ku inbox
 
kwa sifa zako zote,hii ndio imenivuta zaidi......atleast,ni PM kwa mawasiliano,hapa mume umepata tayari Mods pliz fungeni thread hii,sitaki competition zaidi
aha ha ha ha ha!!! kama usiogope competitions lazima ujiamini mwana na pia mchaguzi awe na wide range of selection.
 
Muweke wazi mumeo mtarajiwa, unaprefer mjegeje wa rambo ama kibamia.
Itakusaidia kupunguza selection towads corect one.
 
3 & 6 vimenishinda

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hi kwa nini JF Members wengi mnapenda kukejeli wengine katika issue serious?
Hii Love connect sio kituo cha ushauri ni sehemu ya kutafuta marafiki na wapenzi (kama wanapatikana).Ukiwa na ushauri upeleke katika main forum ya mahusioano sio sub forum hii.Na ukiwa una kejeli zako zitafutie forum nyingine.
 
Tutakutana kwenye mchujo wa GPA! Interview ni lini? Dead line of application ni lini?
 
Hi kwa nini JF Members wengi mnapenda kukejeli wengine katika issue serious?
Hii Love connect sio kituo cha ushauri ni sehemu ya kutafuta marafiki na wapenzi (kama wanapatikana).Ukiwa na ushauri upeleke katika main forum ya mahusioano sio sub forum hii.Na ukiwa una kejeli zako zitafutie forum nyingine.

Hongera kwa kuliona hilo.. Kuna watu wanaendekeza kejeli tu na maneno maneno.
 
Back
Top Bottom