Natafuta mume jaman

mi meshawishika...natamani tufahamiane sasa.....kama vp hebu nenda kwa fb, tafuta mtu mwenye jina hili, boniface rose afu muadd then hapo tunaanzia
 
Kuna sifa za muhimu hujazitaja mfano umri wako, dini yangu, unaishi wapi na umtafutaye unataka awe wapi? by the way iyo sifa yako ya mchapa kazi na unajituma imenivutia sana, najua kila sehemu ni mchapa kazi na kujituma sio ofisini tu! Toa ufafanuzi huu ili tujipime kabla hatuja PM
 
cyo vzri nnavyofanya jamani wana jf mwenze2 ana shidi jamani c asikilizwe 2 babdala ya kutoa kashfa na jokes zisizo na maana?Axcheni hzo bhana......................
 
mi meshawishika...natamani tufahamiane sasa.....kama vp hebu nenda kwa fb, tafuta mtu mwenye jina hili, boniface rose afu muadd then hapo tunaanzia

sasa boniface rose si mwanamke wewe jaman?? au labda mwanaume ngoja niende fb nikakuangalie.
 

hebu uwe na nidham halafu kuna signature sijui ya nani humu jamvini inasema do not judge someone because you don't know what the person has been through.
 
Mi ninavyo vyote kasoro kimoja so i guess si qualify
 

tehe tehe sasa kama unataka proof ya kupima kwamba mimi ni mchapa kazi labda nikutumie kwa email copy ya PD(Performance Development) yangu ili uone nilivyoratiwa "A" lakini sasa huo ni utendeji wa ofsini.sasa utendaji mwingine utapimaje???akili kumkichwa!!
 
Kwenye wasifu wako refer#4,
Who is Samweli?
 
Umesisitiza kumpenda Mungu, unampenda Mungu, unataka mpenda Mungu...

Well, mume bora anatoka kwa Bwana, ndio underlying message wanayopeana wapenda Mungu wanaohitaji mabwana. Kwa hiyo, by that premise, inabidi ukae kitako usubiri Mungu akupe Bwana, hutakiwi kuzururazurura unatafuta Bwana, hutakiwi hata kusali, manake yeye si anajua kila kitu, anajua unahitaji Bwana, na anawapenda waja wake wote, hataki wahangaike kama makahaba eti wanatafuta mabwana. Hizo ndio fundamental pillars za nadharia za Mungu.

Lakini siku unapomuhitaji Mungu he goes m.i.a, anazima simu! Why? Anakuacha unatafuta mabwana usiowajua mitandaoni. Kwa nini asikutoke mlimani akuonyeshe maono ya kwamba mfate bwana fulani na ukifika tu na yeye anakupokea kwa mabusu bila hata longolongo nyingi, "love at first site"! Ndio maana hizi hypothesis za Mungu sizikubali, hazi make sense, kwa hiyo in principle mi si qualify kwenye hiyo nafasi ya kazi uliyotangaza, I over-qualify kwa saab ningeweza ku introduce tremendous dimensions of reasoning in your life.
 
Anheuser nimependa kwa kiasi flani paragraph ya mwisho, yani mtu onaomba mpaka unaamua kusarrender unapewa vyotee hilo la mume unaishia tu kupata msioendana nafikiri swala la ndoa lina fumbo kumbwa sana kwa upande wa imani
 
watu wamekuwa wanakandia sana wanawake waliosoma chuo wakafika level za juu bila kuolewa inawezekana mtu umesoma five years na hukutaka fb chuo na kila unayekutana nae ham match kwa nini usitangaze mtandaoni ambako kuna world choice wanaume wangapi wametamani cv ya dada lakini kwa kubezana watu wanaogopa
 
mi meshawishika...natamani tufahamiane sasa.....kama vp hebu nenda kwa fb, tafuta mtu mwenye jina hili, boniface rose afu muadd then hapo tunaanzia

Achana nae huyo..fanya hivyo kwa Saitama Kein...umepata mume bibie pouwa!:flypig:
 

Mungu hamshushii mume toka mbinguni bali mume atampata hapa hapa duniani, iwe kupitia JF, Kanisani, Msikitini, Mtaani ama kwingineko.
Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, kwani Mungu hajui mahitaji ya watu wake hadi asubiri waombe kwanza? tafakari kisha chukua hatua.
 
umesema "nina makalio lakini si makubwa sana" una maana gani kwani kuna mtu asiyenayo? kama unamaanisha ni makubwa kiasi mbona unachanganya mambo we mcha Mungu na makalio vinaedaje? tuambie masters yako ni ya ni ya nini. kila la heri utafanikiwa ukiwa wazi zaidi
 
mimi nina diploma ya accounts xo cna nafasi?
 

Sifa zote ninazo,ila sina dini! hii imekaaje kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…